Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 27 September 2012

UNATAKA KWENDA KUMSHUHUDIA ROZAY..VIINGILIO HIVI HAPA


BREAKING NEWS: KENYA WAPIGWA TENA BAO LA KISIGINO NA TANZANIA.....RICK ROSS AIKACHA NCHI HIYO ,ANAKUJA KUWASHA MOTO TANZANIA KWENYE FIESTA 2012 BHAAAAAS


Ni wazi kuwa joto la wapenda burudani kwa sasa litakuwa limepanda hadi degree 43 zaidi ya lile la jiji la Khartoum kutokana na kusubiri kupewa taarifa ya msanii gani wa kimataifa atakayekuja kuwasha moto wenye jukwaa la Fiesta 2012 BHAAAAAAAAS.
Kabla ya wahusika kutangaza ni nani anayekuja team TzTopModel we have the name of who's coming for us!! Guess whaaaat.......  Mayback Music Group  president call him Rick Ross,  Rozay aka The BOSS all tha way from US of America ndiye anayekuja kuonyesha U-boss wake jijini.
Taarifa za awali zilikuwa zikidai kuwa Rozay alikuwa akafanye show jijini Nairobi Ijumaa ya tarehe 5 October mwaka huu ambayo kesho yake ndiyo siku ya Fiesta jijini lakini ma-promoter wa nchi hiyo wameshindwana nae.
Mara ya mwisho alipokwenda kufanya show South Afrika, Wakenya waliambulia kumwona Rozay kwenye uwanja wao wa ndege wa Jomo Kenyata International Airport.
This time around Rozay atapita tena Kenya akija Tanzania kuja kufanya the so called an electrifying, unforgettable, big time performance in Tanzania kwenye Serengeti Fiesta 2012 BHAAAAAAS itakayofanyika kwenye viwanja vya Leaders hapa jijini Dar es Salaam tarehe 6 October 2012.

NEW VIDEO: 2Face Idibia, Wizkid, M.I, Tiwa Savage & D’Banj – Let’s get the Party STARted


KITCHEN PARTY YA AUNTY EZEKIEL TAREHE 24 0CTOBER PALE MLIMANI CITY


We all know Aunty Ezekiel siku si nyingi ataachana na wazazi wake na kwenda kuungana na mumewe aitwaye Demonte ili kuishi kama mume na mke.
Baada ya zoezi zima la kukusanya michango kwa ajili ya harusi  kukamilika,sasa Aunty atafundwa rasmi tarehe 24 October mwaka huu at Mlimani City kabla ya wiki moja baadaye kufanyiwa sherehe katika hoteli ya Serena.

Licha ya kuwepo kwa habari kuwa Aunty Ezekiel hakubaliki ukweni kutokana na vitendo vichafu ambavyo amevifanya siku za hivi karibuni haya ndiyo aliyoyasema, "Taarifa hizo hazina ukweli wowote, naamini watu wenye chuki zao ndio wanaosambaza uongo huo ili kuniharibia mambo yangu".
"Mpaka sasa taratibu za harusi yangu zinaendelea kwa ushirikiano mkubwa wa wakwe zangu na mume wake mtarajiwa", Aunty ambaye hivi majuzi picha zake za uchi zilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

Video: Jaden Smith – The Coolest







Ni wazi kuwa familia ya Will Smith imejaliwa talents za kila aina kama tulivyoona miaka michache iliyopita Willow Smith akakonga nyoyo za wengi kupitia hit single yake ya mwaka 2010 ya "Whip My Hair”.
Kwa upande mwingine kaka yake Willow aitwaye Jaden anaye hakuwa nyuma, ali-gain attention za watu kupitia kupitia tasnia ya uigizaji  pale alipofyatua movie yake iitwayo "Karate Kid" mwaka 2010.
Kuonyesha kuwa he's from manyota family, Jaden ama-release video ya single yake ya “The Coolest”, itakayokuwa kwenye his upcoming mixtape The Cool Cafe, itakayotoka   October 

Wednesday 26 September 2012

MAD ICE KUWASHA MOTO JIJINI ARUSHA WEEKEND HII


WASHINDI WA BIBI BOMBA WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO LEO JIJINI DAR

Bibi Anna Saidi mshindi wa pili wa shindano la Bibi Bomba akipokea zawadi yake
Wasiwasi Mwabulambo (kulia), Babuu wa Kitaa toka Clouds TV  na Josephine Kulwa toka NMB


Bibi Veronica Mpandala aka Tukinao ambaye aliibuka mshindi wa shindano la Bibi Bomba (kushoto), Anna Said-mshindi wa pili (katikati) na Nasra Mohamed Abdul

Bibi Nasra Abdul akipokea zawadi yake toka kwa wadhamini wa shindano hilo

Bibi Tukinao akipokea zawadi yake toka kwa meneja wa NMB aitwaye Josephine Kulwa

BRAND NEW SONG: PRICES- CAMP MULLA FEAT. WIZ KID


BREAKING NEWS: DJ STYLES GOT ENGAGED


Kwa wafuatiliaji wa burudani ya East Africa watakuwa wanamjua DJ Styles ambaye ni mmoja wa waanzlishi wa the hottest deejaying crew ya CodeRED DJs ya Kenya.Kama pia ulikuwa party animal huna sababu ya kutokumjua dj huyu aliekuwa akispin at Runaway kwenye Thursday Is The New Friday iliyokuwa ikiandaliwa na CodeRED Ent. Tanzania.
Habari mbaya kwa chicks waliokuwa wakimmezea mate DJ huyu mwenye mafanikio makubwa kwenye tasnia hiyo kwa ukanda huu wa  Afrika Mashariki ni kwamba Styles amemvisha pete his long time galfriend aitwaye Wambui Wanyoike na siku si nyingi watapandishana altareni kula kiapo cha kuishi kama mume na mke hadi kifo kitakapowatenganisha. 
We at TzTopModel will like to wish them all the best kwenye upcoming nuptial yao.....Hongera sana Styles

NEW SONG: DIAMONDS - RIHANNA






EXCLUSIVE: PICHA ZA THE LUCKY MAN WA IREEN TILLYA HIZI HAPA

Ireen Tillya

Kwenye pita pita za cop wa site hii alizifuma picha za mchumba wa Ireen Tillya (blood sister wa marehemu Vivian Tillya) ambaye zamani alikuwa akifanya kazi Kiss FM ya Mwanza kabla ya kuchapa lapa na kuhamia Tone Online Radio iliyoko hapa jijini Dar es Salaam anakofanya kazi kwa sasa...
Jionee mwenyewe picha za the lucky man huyo hapo chini...



NEW VIDEO: SAUTI SOL - RANGE ROVER


AKON ATHIBITISHA KUPIGA SHOW NCHINI KENYA TAREHE 27 OCTOBER 2012


Kama kuna msanii wa kimataifa anayeongoza kwa kuwalisha hasara mapromota wa Kenya kwa kukubaliana nao kuwepo kwenye shows zao wanazoziandaa huku wakitangaza yeye kuwepo na mwisho wa siku kutokuwepo bila shaka Akon atakuwa anaongoza.
Baada ya kuwakoseshea uaminifu promoters wengi wa nchi ya Kibaki kutokana na usanii wake huo, hii leo Akon amaelazimika kudhibitisha mwenyewe  kuwepo kwenye show itakayofanyika nchini humo mwezi wa kumi kupitia ukurasa wake wa Facebook kuwa show iliyotangazwa yeye kuwepo nchini Kenya ipo hivyo wala bata wajipange.
Show yake itafanyika Jumamosi ya mwezi wa kumi tarehe 27th, 2012 at Carivore Grounds . 
Uhakika uko hapa....

BRAND NEW VIDEO: 'HATUA ZANGU'- DOGO HAMIDU FT. YOUNG DEE AND ALICE


NEW SONG: YOUNG DEE FT. JOTO & CHEKEDAA - BOMA LA UTETE


SI SIRI TENA: DIDDY NA CASSIE NI WAPENZI

Diddy na Cass
Baada ya kuwepo kwa minong'ono ya chini chini kuhusiana na issue ya Diddy kumu-engage bad boy chick, Cassie latest infoz ni kwamba wawili hawa wameridhia hivi majuzi waliridhia ku-share "mahusiano" yao kweupe.
Wawili hawa kupitia twitter, kila mmoja alipost instagram image ya mwenzake huku wakimwagiana sifa kibao.
Kama hukuziona zicheck hapa....



Friday 21 September 2012

NANI KUIBUKA MALKIA WA MISS TMK LEO PALE PTA?

Shindano la kumsaka mlimbwende wa Kanda ya Temeke, Miss Temeke 2012 linafanyika leo katika ukumbi wa PTA, Sabasaba, Dar es Salaam na mshindi atazawadiwa Sh. Milioni 1.5 mbali na tiketi ya kushiriki Miss Tanzania baadaye mwaka huu.
Hawa ndio wataochuana usiku wa leo...
Edna Sylvester (21)

Catherine Masumbigana (21)  

Jesca Haule (18)

Lilian Joseph (20)

Neema Doreen (20)

Zulfa Bundala (21)

Esther Albert (19)

Agness Goodluck (20)

Flaviana Maeda (22)

Elizabeth Peter (21)

Miriam Ntakisivya (21)


Elizabeth Bonigace (19) 


Angel Gasper (19)

NEW VIDEO:DIDGE AND COLLO -'KIPUSA'

ANGALIA VITUKO VYA LADY GAGA



ALBUM YA CAMP MULLA 'FUNK TOWN' KUUZWA SHILINGI 250 ZA KENYA

Camp Mulla wanatarajiwa ku-release album yao ya kwanza toka waingie kwenye music scene kwa jina la 'Funky Town' officially hapo kesho ((22nd September 2012).
Album hii itakuwa ikiuzwa kwa shilingi 250 ya Kenya.Pia album hii yenye nyimbo kumi na tano zenye collabo za wasanii toka Kenya na nje ya nchi hiyo itakuwa ikipatikana kwenye iTunes
.

EXCLUSIVE: MIKEL OBI ALAZIMIKA KU-DELETE TWITTER PAGE YAKE



Midfielder wa Chelsea toka nchini Nigeria, Mikel Obi jana alilazimika kui-delete twitter page yake baada ya kupokea barrage of racist abuse toka kwa fans wa timu hiyo waliokuwa wakimlalamikia yeye kutokana na draw ambayo Chelsea waliipata dhidi ya Juventus, juzi jumatano usiku at Stamford Bridge.
Ikikumbukwa vizuri kwenye mchezo wao wa juzi wa ligi ya mabingwa Ulaya aka UEFA Champions, dakika ya 80 Mikel alimisplace pass ambayo ilinaswa na  Fabio Quagliarella alietumia vizuri kosa hilo na kutupia mpira wavuni na hivyo kufanya matokea ya game hiyo kuwa 2 – 2 draw.
Akizungumza kwenye interview baada ya mchezo Mikel aliyasema haya, “If I want to make up an excuse, I can. But, for me, I gave the ball away. I put my hands up, we move on,” Mikel said.
“I’m sorry about the mistake, but there are no excuses.”


Hii ndiyo kauli ya Chelsea Official kufuatia kitendo cha Obi ku-delete page yake: 

 

Thursday 20 September 2012

EXCLUSIVE VIDEO AFRICAN SWAGGER- ALPHA FEAT RAH P

EXCLUSIVE: CHECH OUT SNOOP LION AKIVUTA KUSH NA MWANAE WA MIAKA KUMI NA NANE

Snoop Lion
Snoop akiroll mdude na mwanae wa miaka 18  aitwae Corde Calvin Broadus

Corde akimuwashia dingi ake mjani


GOLDIE KUTUA BONGO SIKU SI NYINGI

Goldie akiwa na Kyle nchini Uganda

Baada ya Goldie kumtembelea Prezoo then kwenda Uganda kumchek mshiriki wa BBA ya mwaka huu toka nchini humo kwa jina la Kyle latest infoz ni kwamba mnigeria huyu soon ataikanyaga ardhi ya Tezee akiwa na Prezzo kwa ajili ya kufanya kazi za kimuziki na baadhi ya wasanii wa hapa nyumbani...

Wednesday 19 September 2012

CHECK OUT PREZZO ALIVYOJIACHIA NA GOLDIE HUKO KENYA WAKATI O NEWS TEAM YA CHANNEL O ILIVYOKUWA HUKO

Weekend iliyopita Channel O walihamishia base yao pande za Kenya kwenye show iliyopewa jina la “News meet and greet” lililozindua mchakato mzima wa kuanza ku-report habari toka nchini humo ambapo liliwajumuisha celebs kibao toka barani Africa kwenye ukumbi wa KICC.
Baadhi yao ni pamoja na Khuli Chana, WizKid, Wyre, Niyola, Banky W, Skales, Shaydee and Camp Mulla bila kusahau Prezzo na Goldie ambaye za chini zinadai aliingia nchini humo kimya kimya ili kukwepa mapaparazi.

MMG prezident - Prezzo akiwa na Goldie




Banky W(wa pili kushoto) with Wizkid (wapili kulia) na VJs wa Channel O


Banky W

Wyre

Khuli Chana

Jokate aka Miss Kidoti na Banky W

DJ Mfalme








Check out video ya event hiyo ilivyokuwa