Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 25 March 2013

MWANAMKE MWENYE MIGUU MIREFU ZAIDI DUNIANI!

Ni Svetlana Pankratova. Ni mcheza basketball wa zamani  raia wa Urusi mwenye kimo cha futi 6 na nchi 5 (1.96 m). Miguu yake ina urefu wa futi 4 na nchi 4 (1.32 m)




MTOTO WA MIAKA 8 AOA KIBIBI CHA MIAKA 61!

Dogo wa miaka 8, Sanele Masilela, amefunga ndoa na kibibi cha miaka 61. Dogo huyo ambaye ni mwanafunzi wa Primary school ameushangaza Ulimengu kwa kumuoa ajuza  Helen Shabangu huko Tshwane, South Africa.

Ingawa ndoa hiyo haitambuliki kisheria lakini dogo amekomaa kwa kusema kuwa sasa anajihisi ni mme kamili na ana wajibu kwa ndoa yake akiwa kama mme!

Dogo alifunguka haya katika siku ya ndoa yake na kuwaacha wahudhuriaji wa ndo hiyo vinywa wazi, "Leo ni siku kubwa kwetu (mimi na mke wangu) kama vile nilivyoitarajia. Marafiki zangu walifikiri na wanaona ni vichekesho nilipofunga ndoa hii lakini mimi najiona ni mwenye furaha na kujihisi kama mme kamili sasa"

Bwana Sanele Masilela na Bi. Harusi Helen Shabangu

Bwana na Bi Harusi wakipata chakula cha usiku!













HAIHUU!!

Mwanamuziki wa Marekani Nicki Minaj alinaswa na kamera akiwa nyuma ya gari lake aina ya Maybach akiwa ameuchapa 'fofofo' huku mguu mmoja ukiwa Magharibi na mwingine Mashariki ya mbali!