Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 1 April 2013

MAMBO 7 MWANAUME HUTAKIWI KUYATAMKA UKIWA NA MPENZI WAKO KITANDANI!

1. Kumzungumzia mpenzi wako aliyepita:
Kuzungumzia mapenzi yako yaliyopita juuya kitanda uiwa na menzi wako ni sumu kali. Mademu wote hawataki kusikia maongezi haya kwa vile tu atajiskia vibaya na wivu zaidi.

2. Kulitaja jina la mwanamke mwingine:
Kikawaida demu yoyote anajua kwamba ulikuwa na wakati mzuri na mademu zako waliopita lakini kila mwanamke anapenda kujisikia she is the only one in your heart. Hivyo kama ukijifanya kulitaja jina la demu mwingine on bed basi kuwa tayari kwa lolote hasa kuomba msamaha na kufanya lolote atakalokuamrisha ili mradi tu uthibitishe kuwa she is the most beautiful, sexiest and intelligent!

3. Kumnyamazisha:
“Shssss kaa kimya basii jamaniii” Unahitaji mchuchu akae kimya wakati umempeleka mwenyewe kileleni!? Acha zako. You have blown her mind already so mwache mtoto a-enjoy!

4. Kumlinganisha na demu wako aliyepita:
Mademu wote huhisi wako saw asana kitandani. So ukisema, “Wewe ni mtamu kama ex-girlfriend wangu”, mara moja utampotezea appetite ya ku-do na kumtengenezea mwaswali kadhaa likiwemo hili, “Unamfikiria yeye tu wakati una-do na mimi?”. Na“Ungependa kuwa naye muda huu badala yangu?”

5. Kujifanya una haraka:
Kumtonya mwanadada kuwa huna muda mwingi wa kukaa naye hivyo muda si mrefu utasepa, hii itamkata mood kabisa. So ni vizuri kama unataka kukaa na kuspend na mpenzi wako basi utenge muda wa kutosha naye.

6. Kwenda chooni hovyo:
Ni balaa. Kidogo tu mtoto wa kiume unafungua mlango wa chooni. Ni vyema kujipanga kwa kuhakikisha uko vizuri kimwili kwa offload haja zote kabla hamjaanza mambo yenu!

7. Kupokea simu kila wakati:
Kumbuka huu ni wakati wa faragha kati yako na mpenzi wako. Kama unahisi simu yako huita kila mara basi vyema ukaweka ‘silent’ ili mkishafanya yenu then uwacheki waliokuwa wakikutafuta na sio simu kuiacha ikilia na hivyo kukata stimu kabisa za mapenzi!
 

SASA NI BIFU RASMI KATI YA LADY JAY DEE NA CLOUDS FM!

Unalikumbukua bifu la Kalapina na Clouds Fm? Na la Mheshimiwa Sugu na hawahawa jamaa je? Sasa ni zamu ya Malkia wa mziki wa Bongoflava Lady Jay Dee. Judith Wambura Habash amefunguka rasmi na kulianika wazi bifu lake na Clouds Fm ‘The Superbrand Radio Station’! Bado chanzo halisi cha bifu hilo halijafahamika rasmi lakini kupitia tweets zake Jay Dee unaweza kujua ni nini mke wa Gadner G. Habash alichokuwa anakimaanisha!

Baadhi ya tweets zake zinazungumzia kana kwamba kwa sasa Clouds Fm wameamua kumbania kugonga ngoma zake na kuzipigia promo zaidi ngoma zingine hasa bendi mpya inayosemekana kuja kwa kasi zaidi, ‘Skylite Band’. Band hii inaundwa na baadhi ya wasanii waliondoka Machozi Band akiwemo Jonnical Flower!
Tweets za Lady Jay Dee anayetamba na ngoma yake mpya ‘Joto Hasira’ akilalamikia ukandamizaji kama sio unyanyasaji huo zinakwenda kama hivi:-
JD: Radio ya watu isiyopiga nyimbo za wasanii wa watu ila za wasanii wao tu, wasiopendwa na watu.
#JotoHasira
JD:Kill me if u can. Am on fire. Siogopi ng’ooooooo. Jipangeni.
JD: Ni kweli nimelamba sumu lakini hainidhulu. Nakunywa maziwa daily. I will survive.
*****Lady Jay Dee
Hee! Kuna wajinga wanadhani nilitweet nikiwa nimelewa, nilimaanisha na msimamo ni huo. Sitasema oooh kuna mtu ka-hack ac yangu nooo it’s me.
*****Mnalishwa chungu na tamu na vyote mnakula. #JotoHasira
*****Anaedai kuianzisha Bongoflava aliapa kuiua bongoflava. Sasa hata wasiojua Hiphop nao wana beef na bongoflava! Damn!!
*****Kama tweets zangu zinakukwaza pls unfollow taratibu na kwa amani. Happy Easter.
*****Vinyoka nyamazeni achene Anaconda aongee #JotoHasira
*****My name is Judith Wambura Habash. Hii imeandikwa kwenye passport. Gmorning!