Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 21 January 2014

BEYONCE ATIMBA NA BLUE IVY IKULU YA OBAMA.

Kama Blue Ivy sio mtoto mwenye bahati zaidi duniani, je nani zaidi yake? Katika umri wa miaka 2 tu lakini ameshatia maguu ikulu ya Obama maarufuku kama White House. Ni  shamra shamra za miaka 50 ya kuzaliwa mke wa Barack Obama, Michelle Obama huko Washngton D.C.


Michelle Obama akiwa mpenzi na mshabiki wa kutupwa wa nyimbo za Beyonce ndipo hapo mke wa Jay Z na familia yake yote walipopata mwaliko. Kama kawaida Beyonce alipewa shavu la kupafomu na kama ilivyo ada, Beyonce hawezi kukuangusha linapokuja suala la kutoa burudani hasa wakiwepo watu wazito kama rais na familia yake. She never disappoints!


MWIGIZAJI THE ROCK AMZAWADIA BEKI 3 WAKE GARI LA THAMANI!

Ni mara ngapi unashukuru na kuthamini kile mtu anachokufanyia hata kama ni kidogo? Mwanamieleka wa zamani wa WWE na mwigizaji sinema za Fast and Furious, Dwayne Johnson a.k.a The Rock amemzawadia beki 3 wake gari aina ya Ford Edge, ambalo thamani yake ni zaidi ya dola za Kimarekani elfu 40. 

The Rock aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter, "Miaka 10 amekuwa akisaidia kazi za nyumbani kama mama yetu vile. Nimeamua kumpa surprise Esperanza na mkoko mpya #WeloveU" 

The Rock na beki 3 wake Espiranza

Monday 25 November 2013

BIFU LA JUDE NA PETER P-SQUARE LAENDELEA

Inaonekana sasa kuwa ule uadui kati ya Peter, Paul na kaka yao mkubwa Jude Okoye uko wazi hasa baada ya Jude kukacha kuhudhuria harusi ya mdogo wake Peter P-Square. Pamoja na kutotia maguu katika harusi hiyo Jude hajamtumia ujumbe wowote mdogo wake Peter P-Square kama pongezi kwa kumuoa Lola Omotayo.
 
Uadui huu umedhihirika waziwazi pia kwa Jude ambaye ni meneja wa Peter na Paul Okoye kutosafiri na wadogo zake hao mapacha kwa show yao ya juzi Jumamosi nchini Tanzania, Leaders Club, Kinondoni! Hii si kawaida kwa Jude kutosafiri kwa Jude pamoja na akina Peter na Paul hasa kwa shows za nje ya Nigeria

Mpaka sasa hakijajulikana chanzo hasa cha matatizo yao. Inawezekana ikawa Peter kumuoa Lola ndio ishu? #WeAreWatching.

Jude na Peter Okoye



MAJIBU 20 UNAPOAMBIWA "I LOVE YOU"

Watu ama mtu akikwambia "I love You" hasa kwa hiyo lugha ya kigeni, unaweza ukawa na shauku kubwa na kujibu "I love you too". Lakini kama hauko tayari au unahisi kujibu "I love you too" inaboa, hapa kuna majibu takribani 20 unayoweza kutumia pale mtu anapokutamkia 'I love you". 

1. Good!
2. So do I!
3. Most people do.
4. I don’t blame you!
5. Cool story, bro/sis.
6. That makes two of us!
7. I love me, too.
8. That’s nice.
9. HAHAHAHAHAHA. You WERE kidding, right?
10. I figured.
11. Thanks, I wish I could say the same for you.
12. I’d rather you didn’t.
13. Let me know how that works out for you!
14. I wouldn’t think too much of it, I get that all the time.
15. Sounds fun.
16. Oh, great. This is just hunky dory peachy keen.
17. What part of “restraining order” do you not understand?!?
18. Okay, bye.
19. And I love unicorns!
20. Good for you.

Sunday 24 November 2013

MFANYAKAZI WA GIRAFFE OCEAN VIEW HOTEL ASHEREKEA BIRTHDAY NA WASHIRIKI WA TANZANIA TOP MODEL 2013

 Mfanyakazi wa Hotel ya Giraffe Ocean View jioni ya jana alisherekea siku yake ya kuzaliwa akiwa kazini kwake,wafanyakazi wenzake na washiriki wa shindano la Tanzania Top model 2013 walijumuika kuila keki ya Birthday,Glady anasherekea kufikisha miaka 40.
(Rose akimlisha keki Gladys Msia kama picha inavyozungumza).
 Gladys akilishwa keki na Bi. Hellen.
 Gladys akiwa na wafanyakazi wenzake Hellen,Martha Mkololo na Gladys kwenye picha ya pamoja.
Mambo ya ku-pop campaign yaliendelea.Thomas Fusi akifungua campaign kimadaha.
 Hapa wimbo wa Hapy birthay to you ukiimbwa....
 Washiriki wa Tanzania Top Model wakishiriki birthday ya Gladys.