Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 26 July 2013

BUSTA RHYMES KUPAFOM KENYA

Sasa rasmi kuwa busta Rhymes a.k.a Trevor Taheim Smith Jr atatua Kenya kwa ajili ya kazi moja tu, nayo ni kuwarusha maraia wote wa 254. Hiyo itakuwa mwezi September, 2013. Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Busta kuja Kenya na anatarajiwa kupagawawisha crowd litakalotokea kwa ngoma zake zilizotamba kama 'Twerk It' na Nicki Minaj, 'I Got What You Want' na Mariah Carrey, 'Look at Me Now' akiwa na Chris Brown, 'Touch It with the whole world' na ngoma nyingine lukuki!