Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 30 August 2012

MSINIITE MZEE MAGARI.


Nyota kwenye tasnia ya filamu nchini Charles Magari amekataa kuitwa mzee while age yake imeshasogea.
Hali hiyo ilitokea hivi karibuni baada ya wasanii chipukizi kumpa jina la 'mzee' kutokana na ushauri wake anaowapa wasanii hao kwenye tasnia hiyo.

"Mimi sitaki kabisa kusikia mtu ananiita mzee wakati ni kijana, nashangaa kila nikipita mitaani naitwa mzee waambieni na wengine silitaki jina hilo”, Mzee Kijana Magari.

Pia mzee Magari alisema kuwa yupo mbioni kuzindua filamu yake inayoitwa "Zig Zag" iliyoandaliwa na Pilipili Entertainment, mbapo ndani yake kutakuwepo na vichwa kama Haji Adam na Mohamed Fungafunga.

MWAKA WA SHETANI KWA MAY D, YOU TUBE ACCOUNT YAKE YAFUTWA


We all know that May D hivi sasa hayupo tena chini ya label ya Square Records, leboiliyokuwa isimamia kazi zake hadi hivi majuzi alipotimuliwa.
Kwa upande mwingine inashtusha kusikia kuwa official YouTube channel ya singer huyu liyokuwa ikisimamiwa na Iroko Partners imefutwa siku mbili zilizopita pamoja na video zake za "Soundtrack" na "Ile Ijo".
Pamoja na videos za nyimbo hizo, page nyingine zilizotolewa ni pamoja na  streams za still clips.
Square Records’ Youtube accounts pia zinasimamiwa na Iroko Partners.
Hadi sasa haijawekwa wazi iwapo ni  Square Records, Iroko au hata  May D mwenyewe aliyeamua kuifuta account hiyo.
Infoz za kuaminika zinadai kuwa hadi sasa hakuna e-mail hata moja iliyotumwa kwa Iroko na pia Square records kuulizia issue imeibiwa.
Kwenye recent interviews Psquare waliweka wazi kuwa kuondoka kwa May D kwenye label hiyo kutamfanya kuwa na ya kujibu kiuongozi zaidi.

GADNER HUYO TIMES FM ATAKUWA AKITANGAZA SHOW IITWAYO MASKANI




Aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM katika kipindi cha Jahazi, Garder G Habash aka Captein anatarajia kuanza kutangaza tena Jumatatu ijayo kupitia kituo cha radio cha Times FM 100.5 cha Dar es Salaam kwenye kipindi cha .
"Maskani" kitakachokuwa kikiruka from Jumatatu to Ijumaa saa 10 jioni hadi saa 1 usiku.


Gadner akiongea machache baada ya kutambulishwa Times FM
  Rumors dong the rounds ni kuwa mtangazaji huyo atakuwa akilipwa shilingi milioni 5 kwa mwezi na kama tetesi hizi zitakuwa ni za kweli basi Gadner atakuwa the most paid radio personality in Tezee.





Kipindi chake kinatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa na kipindi chake cha zamani,  Jahazi cha Clouds FM ambacho kwa sasa huendeshwa na Arnord Kayanda, Wasiwasi Mwabulambo na Ephraim Kibonde.

Hata hivyo Clouds FM watakuwa na advantage katika mikoa mingine ambayo Times FM haisikiki.

Picha ya pamoja ya baadhi ya watangazaji wa Times FM. Kutoka kushoto ni: Gadner, Schola, Natasha, Ndimbo, Dida na Joet.
Kwa upande wa Dar es Salaam, Maskani ina nafasi kubwa ya kuchukua wasikilizaji wengi wa Jahazi hasa wanaosikiliza radio wakiwa majumbani.

Times FM wana disadvantage ya frequency walinayo ya 100.5 ambayo gari nyingi haizifikii na hii ni kwa sababu kuna wasikilizaji wengi jijini Dar es Salaam wanaosikiliza radio kwenye magari.

ITAZAME OFFICIAL REMIX YA WIMBO WA MATAPELI WA JAGUAR

MAANDALIZI YA SEND OFF YA AUNTY EZEKIEL UTATA MTUPU




Zimepita week kadhaa toka kikao cha Aunty Ezekiel kifanyike nyumbani  kwake pamoja na Wajumbe wenzake wa tasnia ya filamu hapa nchini inayofahamika kama Bongowood.
 Kikao hiki cha Aunty Ezekiel kimezua utata baada ya kila mjumbe kutoa ahadi katika kikao cha kwanza na kutokufika katika kikao cha pili hii iliwashangaza watu wengi sana hasa ndugu na marafiki mbalimbali waliofika katika kikao hicho.
Asilimia nyingi ambao waliotoa ahadi ni wasanii wenzake na inasemekana kwamba muhusika wa maandalizi haya ya send off  yuko ziarani. Je huu si utata?.

SENE TA JEMBE Final HD teaser new

MJENGO MPYA WA MCHUNGAJI GETRUDE RWAKATARE


  Muonekano wa mbele wa hekalu la Mchungaji Rwakatare
 MC na mchungaji Haris Kapiga wa Clouds FM
 Mc Harris Kapiga akiwa kazini.
Watu wakijiachia
  Kabati la vyombo 
 Akiwa katika ofisi yake ya nyumbani, kuna sehemu ya kufanyia mikutano, Salon, Studio, na sehemu ya mazoezi.
Wadau wakijiachia kwenye moja wapo ya kochi  la kifahari mjengoni humo
 Wakati wa msosi
 Mambo ya dressing table
Kitanda chake cha kulalia
---
 Mchungaji Getrude Rwakatare amehamia rasmi katika nyumba yake mpya iliyoko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam pembezoni mwa bahari ya Hindi. Inaripotiwa kuwa waumini wa kanisa lake wapatao 300 walifika mahali hapo kwa kushuhudia nyumba yake hiyo ya kifahari.
 
Kabla ya kuhamia kwenye hekalu lake jipya Mch. Mh. Getrude Pangalile Rwakatare alikuwa akiishi Mikocheni B katika nyumba nyingine ya kifahari pia.

Images via Ruma Africa