Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 30 August 2012

GADNER HUYO TIMES FM ATAKUWA AKITANGAZA SHOW IITWAYO MASKANI




Aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM katika kipindi cha Jahazi, Garder G Habash aka Captein anatarajia kuanza kutangaza tena Jumatatu ijayo kupitia kituo cha radio cha Times FM 100.5 cha Dar es Salaam kwenye kipindi cha .
"Maskani" kitakachokuwa kikiruka from Jumatatu to Ijumaa saa 10 jioni hadi saa 1 usiku.


Gadner akiongea machache baada ya kutambulishwa Times FM
  Rumors dong the rounds ni kuwa mtangazaji huyo atakuwa akilipwa shilingi milioni 5 kwa mwezi na kama tetesi hizi zitakuwa ni za kweli basi Gadner atakuwa the most paid radio personality in Tezee.





Kipindi chake kinatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa na kipindi chake cha zamani,  Jahazi cha Clouds FM ambacho kwa sasa huendeshwa na Arnord Kayanda, Wasiwasi Mwabulambo na Ephraim Kibonde.

Hata hivyo Clouds FM watakuwa na advantage katika mikoa mingine ambayo Times FM haisikiki.

Picha ya pamoja ya baadhi ya watangazaji wa Times FM. Kutoka kushoto ni: Gadner, Schola, Natasha, Ndimbo, Dida na Joet.
Kwa upande wa Dar es Salaam, Maskani ina nafasi kubwa ya kuchukua wasikilizaji wengi wa Jahazi hasa wanaosikiliza radio wakiwa majumbani.

Times FM wana disadvantage ya frequency walinayo ya 100.5 ambayo gari nyingi haizifikii na hii ni kwa sababu kuna wasikilizaji wengi jijini Dar es Salaam wanaosikiliza radio kwenye magari.

No comments:

Post a Comment