Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 29 August 2012

MARTIN KADINDA KWENDA KU-SHOWCASE DESIGNS ZAKE MAREKANI KWENYE AFRICA NEW YORK FASHION WEEK

Hard work pays.

Baada ya kufanikiwa kuwateka fashionistas wa Bongo kwa designs zake za Single Button na Vibunduki  now Martin  Kadinda is going to places baada ya kupata mwaliko wa kwenda kuonyesha brand zake huko New York kwenye Africa New York Fashion Week itakayofanyika August 31 mwaka huu.

 
"Kwa mara ya Kwanza Maishani mwangu nitakanyaga Ardhi ya Marekani Ijumaa hii, nitakuwa the only Designer Mwalikwa katika Africa New York fashion...... Kivumbi collection itaonekana tena ndani ya New York.. kivumbi collection Hiyoooo.. single button hizooo and Ofcourse Vibunduki teheheteetehehehhe"-said Martin Kadinda.
 

CHECK IT OUT: MIRIAM ODEMBA NEW LOOK

TUNDA MAN - DEMU SIO (OFFICIAL VIDEO PART 2 )

GUESS WAT...SUBIRIA VIDEO MPYA YA WIMBO WA MABESTE FT.JUX - SIRUDI TENA





 



BRAND NEW SONG FROM CHID BEENZ - MSHAMBA FEAT. SHARO MILIONEA

 


KWELI DIAMONDS ARE FOREVER - KUPIGA SHOW MAREKANI TAREHE 1 SEPT.


KWA MARA YA KWANZA KABISA NDANI YA MAREKANI..DIAMOND LIVE IN WASHINGTON DC JUMAMOSI HII TAREHE  1 SEPT!

FAT JOE - PRIDE N JOY FEAT. KANYE WEST (NEW VIDEO)

KAT DELUNA NEW VIDEO - WANNA SEE U DANCE (LA LA LA)

JESUS KUNOGESHA TAMASHA LA USIKU WA SAUTI NA MARAFIKI WA KWELI


Mwezi ujao kiongozi wa zamani wa Diamond Musica aitwaye Kibinda Nkoi aka Ibonga Katumbi 'Jesus' na  baadhi ya wanamuziki wengine wa kundi wataungana kwa ajili ya kupagawisha mashabiki watakaojitokeza kwenye onesho la Usiku wa Sauti na Marafiki wa Kweli litakalofanyika katika mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Mwanza na Zanzibar.

Akizungumza Dar es Salaam jana mratibu wa tamasha hilo Martin Kadinda ambaye anatamba na brand zake mpya ya ‘Single Button’na 'Vibunduki' alisema onesho hilo linawahusisha wanamuziki wakongwe ambao wataungana na Jesus pamoja na hao wa Diamond, “Kila kitu kinakwenda sawa aliyekuwa amealikwa kwenye onesho hili ni Jesus,lakini kwenye onesho hilo atatakiwa kuimba nyimbo zake kadhaa ambazo alitamba nazo akiwa Diamond na Beta Musica kwa hali hiyo alishauriwa awaite wenzake ili wamsindikize”

“Kutokana na heshima waliyojengana na wenzake walikubali kumsindikiza kwa hiyo mashabiki wa Kibinda Nkoi baada ya miaka 12 wataweza kuwaona tena Ibonga Katumbi, Richard Mangustino, Wayne Zola Ndonga, na Alain Mulumba Kashama wakisimamia pamoja na kuimba tena nyimbo zao kali” alisema Kadinda


Aliongezea kuwa lengo kubwa la onesho hilo ni kuthamini muziki wa zamani na kufundisha matumizi ya vyombo vya muziki, katika onyesho hilo pia watakuwepo wapiga magita kama Elly Chinyama, Adolph Mbinga, Marcis Mengina na  mpiga drum wa mwisho kuipigia Diamond Sound kwa jina la Kata Nyama Serikali.