Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 4 January 2013

AGUERO NA MKEWE GIANNINA DIEGO MARADONA KWISHA KAZI

Aguero atengana na Mkewe ambaye ni mtoto wa gwiji la soka Argentina Diego Maradona aitwae Giannina baada ya uhusiano wao kwa muda wa miaka minne. Mkewe kwa sasa inaaminika kuwa anaishi Mjini Madrid pamoja na mtoto wao wa kiume aitwae Benjamin mwenye umri wa miaka mitatu.
Moja ya wapambe aliandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter kuonyesha kumponda Sergio Arguero (mchezaji wa manchester city) kwa kusema "Sergio Arguero hakufai kabisa kwani ni mshenzi na mpumbavu" lakini mwanamama huyo hakuridhika na maneno yaliyoandikwa na mpambe huyo na kumjibu kwa kifupi kuwa "usiseme hivyo kwani huyo ni baba wa mtoto wangu na hayuko kama wewe unavyofikiria"


RIri NA CHRISS MAMBO SAFI

Nani kasema mapenzi yamekwisha? Hata kama ukinitoa manundu nakupenda tu

Chriss Brown amgharamikia Rihana kwaajili ya kuenjoy X-mass na Mwaka mpya mapenzi motomoto
 wakiwa kwenye Basket ball siku ya X-Mass.

Mzee mzima Chriss uhakika mtupu hapo.

wakitoka nje  ya duka la Slurpee baada ya shoping.

RICK ROSS ALIVYOWARUSHA WATU MKESHA WA MWAKA MPYA


Rick Rozay akiwarusha mashabiki wake katika mkesha wa mwaka mpya katika visiwa vya Bahamas.

BAADHI YA WALIOHUDURIA KATIKA MSIBA HUO WA SAJUKI


katika waliohudhuria katika msiba huo alikuwepo Naibu Waziri wa mawasiliano na Uchukuzi Mhe.January Makamba, Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila Mutahaba al maarufu kama "Ruge", Steve Nyerere pichani hapo juu na baadhi ya wasanii wenzake kama Issa Mussa (Claud), Hisani Muya (Tino) katika picha hapo chini



RATIBA YA MAZISHI YA SAJUKI

Ratiba ya mazishi ya SAJUKI ilikuwa ni kama ilivyo hapo juu, picha ya chini ni baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu huko Tabata.


MAZISHI YA SAJUKI

RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AHUDHURIA MAZISHI YA SAJUKI

Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa anaweka mchanga katika kaburi la marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI) ikiwa ndiyo safari ya mwisho ya msanii huyo.