Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 4 January 2013

AGUERO NA MKEWE GIANNINA DIEGO MARADONA KWISHA KAZI

Aguero atengana na Mkewe ambaye ni mtoto wa gwiji la soka Argentina Diego Maradona aitwae Giannina baada ya uhusiano wao kwa muda wa miaka minne. Mkewe kwa sasa inaaminika kuwa anaishi Mjini Madrid pamoja na mtoto wao wa kiume aitwae Benjamin mwenye umri wa miaka mitatu.
Moja ya wapambe aliandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter kuonyesha kumponda Sergio Arguero (mchezaji wa manchester city) kwa kusema "Sergio Arguero hakufai kabisa kwani ni mshenzi na mpumbavu" lakini mwanamama huyo hakuridhika na maneno yaliyoandikwa na mpambe huyo na kumjibu kwa kifupi kuwa "usiseme hivyo kwani huyo ni baba wa mtoto wangu na hayuko kama wewe unavyofikiria"


No comments:

Post a Comment