Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 6 February 2013

MADONNA AMFUNIKA BEYONCE


Bado huko duniani wanajaribu kuangalia nini kilitokea na kilinganisha show ya Beyonce na ya wasanii wengine waliopita, hasa Madonna ambaye ndio mtu wa mwisho kufanya show ya Super Bowl, Feb 05, 2012 kabla ya hii ya Beyonce, Feb 03, 2013.

Madonna
Beyonce
Inaripotiwa kuwa japo show ya Mrs. Carter ilikuwa such an incredible one lakini haikuvutia watazamaji wengi kama ile ya Madonna ambayo ndio show iliyovunja rekodi. 

Pamoja na Beyonce,31, kujiandaa kwa miezi mitano pia kupewa sapoti na her former Destiny’s Child members, Kelly Rowland na Michelle Williams, rekodi zilizotoka jana zinaonyesha Beyonce aliangaliwa na watazamaji milioni 104 wakati Madonna alitazamwa na watu milioni 112.5

Madonna alipewa shavu na artistes kama na CeeLo Green, Nicki Minaj and LMFAO.


MUTHONI THE DRAMMER QUEEN KUPAFOMU FAINALI YA AFRIKA, 2013


Msanii wa Kenya, Muthoni Ndonga a.k.a Muthoni The Drammer Queen ata-grace stage ya fainali ya mataifa ya Afika 2013 alongside well known celebrities! Fainali ya mataifa ya Afrika itafanyika Nelson Mandela Bay Stadium, huko Port Elizabeth mnamo tarehe 10, February.

Muthoni The Drammer Queen
Tunampongeza MDQ ambaye ni mjasiriamali pia rapper na mwandishi wa mashairi for this beautiful achievement!


MDQ