Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 8 April 2013

A GAME TWO CAN PLAY! BROWN Vs RIHANNA.

Juzi Chris Brown alionekana anamhofia babyboo wake Rihanna kwamba anaweza kumsaliti wakati akiwa katika tour yake. Lakini inaonekana kama Rihanna ndio wakumhofia  Chris Brown wakati alipoonekana aki-party club na dada duu mmoja usiku wa Jumamosi! Brown alionekana akishikana mikono na mtoto huyo huku akimpa chupa moja ya champagne huko Los Angeles nightclub.


 
Wakati hayo yakitokea kwa Brown, Rihanna ,25, alionekana Jumapili (siku inayofuata) akicheki basketball match kati ya Los Angeles Clippers dhidi ya Los Angeles Lakers na mchizi mwingine kabisa!
 

 
Nani hapa anamdanganya mwenzake? Is it Brown or Riri?