Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 8 May 2013

NICKI MINAJ APIGA PICHA UCHI KATIKA GAZETI!

US rapper and entertainer, Nicki Minaj alisaula nguo zote katika upigaji picha wa gazeti la KING huko USA. Haijafahamika ni kiasi gani cha mkwanja Minaj amevuta lakini it is to be a huge bundle of money!



JA RULE ATOKA JELA

Rapper Jeffrey Atkins a.k.a Ja Rule ameachiwa huru toka jela ya Ray Brook Federal Prison huko New York siku ya Jumanne asubuhi (07 May 2013). Lakini Ja Rule amepewa sharti la kukaa nyumbani (kifungo cha nyumbani) mpaka tarehe 28 July.

Ja Rule alihukumiwa kwenda jela miaka 2 mnamo mwaka 2010 baada ya kukutwa na hatia ya kumiliki silaha bila kibali. Mwezi mmoja baada ya kuanza kutumikia kifungo chake, mnamo June, 2011 alikutwa na hatia nyingine ya kukwepa kulipa kodi na hapo ndipo akaongezewa miezi 28 jela!