Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Sunday 10 February 2013

CHRIS BROWN APATA AJALI MBAYA


Jana, saa 6:03 mchana, Chris Brown alipata ajali mbaya na gari lake aina ya Porsche nyeusi kuharibika vibaya. Katika ajali hiyo Chris Brown aliparamia ukuta na kuuvunja kabisa. Mwakilishi wa Chis brown alitoa tamko na kusema chanzo cha ajali ya Brown ni mapaparazi. Inasemekana wapigapicha wawili walikuwa wakimkimbiza Brown. 



Porsche ya Chris Brown
Ukuta aiovunja Chris Brown
Ingawa mmiliki na bosi wa wapiga picha hao alipinga ajali hiyo kusababishwa na mapaparazi wake na kumtaka Brown kuwa makini na kauli zake.

Baada ya ajali hiyo ambayo Brown hakuumia, aliekea zake katika shule ya vipaji ya Allen Dance Academy ambapo Chris Brown kupitia kituo chake cha Symphonic Love Foundation, hutoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wa kituo hicho.