Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 26 June 2013

FEZA KESSY ASHIKWA PABAYA




Kwa wale wafuatiliaji wa Big Brother Afrika A.K.A BBA wanaweza kukumbuka siku Feza alipo ingia mjengoni alisema yeye hataingia kwenye mahusiano na wanaume, katika kipindi atakach kuwa Mjengoni lakini kadri siku zinavyo kwenda mambo ni tofauti kabisa na ahadi aliyo toa hapo Mwanzo.

Kwa sasa mwakilishi huyo wa Tanzania Mapenzi MOTO MOTO yamemshika kwa kijana wa Botswan ONeal ambae ni mtangazaji wa Radio na Tv huko Botswana maana kadri siku zinavyo kwenda mapenzi moto moto yanaongezeka mambo ya madenda ma hugs kwa kwenda mbele kana kwamba hayo hayatoshi na sasa ndio wanaanguka pamoja kwa Bed

Swali ni kwamba siku na wenyewe  wakipata nafsi ya ku spend pamoja kwenye private room ua BIG nao watavunja Amri ya sita ? kwani tulimshuhudia Bety wa Ethopia akiwa mshiriki wa kwanza ndani ya Mjengo akila raha na BOLT kutoka SIERRA LEON na baadae alifuata Mtanzania Mmarekani Nando alivyo kua akiomba mambo kwa Selly kutoka GHANA walipo kua kwenye chumba hicho maalumu cha BIG na hatimaye SELLy alikonga moyo wa NANDo kwa kumpa mambo

       Feza Kessy

Monday 24 June 2013

OMMY DIMPOZ ASHAMBULIWA, AOMBA RADHI DODOMA!

Unaikumbuka ile kauli aliyoitoa Ommy Dimpoz iliyoonekana moja kwa moja inamkashifu Surname wa Freestyle Tanzania, hayati Mangwea? Kama ndio basi ile kauli imesababisha msanii huyu matata mwenye mbwembwe kibao kuambulia kichapo na kuzomewa alipopanda jukwaani huko katika mji mkuu wa Tz, Dodoma (katika tour ya Kili Music Awards) ambako ndio makazi rasmi ya Ngwea kimuziki yaani East Zoo!

Baada ya kichapo hicho Ommy kupitia akaunti ya Twitter aliomba radhi kwa kauli yake kwa Ngwea;-


EXCLUSSIVE: KERI HILSON ACHUMBIWA!

 Keri Hilson amekuwa mchumba halali wa mcheza kikapu wa timu ya   Oklahoma City Thunder, Serge Ibaka. Pete hiyo ilikuwa ni ya bibi yake Serge Ibaka and it is not that much cheap vile ili-consume millions of dollars though not mentioned by Serge Ibaka. Well CONGRATS GUYS!!!


Sunday 23 June 2013

JAY Z ATOA ALBUM KWA KUSHIRIKIANA NA SAMSUNG!

Katika kuhakikisha kila raia anaifahamu na itakapotoka ainunue albam yake itakayouzwa kwa jina la “Magna Carta Holy Grail”, Jay Z a.k.a Hovva alichukua time ya kutosha katika break ya mechi ya  fainali ya kikapu ya NBA game 5 kuitangaza. 


Kwa kushirikiana na Samsung watuamiaji milioni 1 wa Samsung Galaxy 4 watapata album hii bure yenye jumla ya mgoma 13, na hii ndio list kamili ya ngoma hizo:-
1. Picasso Baby
2. Heaven
3. Versus
4. Tom Ford
5. Beach Is Better
6. FuckWithMeYouKnowIGotIt
7. Oceans
8. F.U.T.W.
9. Part II (On The Run)
10. BBC
11. La Familia
12. Jay-Z Blue
13. Nickles & Dimes


Kwa mashabiki wasiotumia simu za Samsung wataipokea album hii July 7. Hakuna artiste yeyote aliyetajwa kama collaborator na hilo ndilo limeshangaza raia wengi na swali limebaki je, ngoma zote hizi Jay Z kazifanya pekeyake?

KIM KARDASHIAN AFURAHIA KUMNYONYESHA MTOTO WAKE.

Kim Kardashian AFURAHIA KUMNYONYESHA NORTH WEST

Mwana dada Kim au Mbabs wa Kanye west anasema anafurahia zaidi anavyo mnyonyosha mtoto wake North West hadharani na hii ni tofauti kabisa na kile alicho kisema hapo nyuma katika mwaka wa 2010 kuwa hakufurahishwa na mama mmoja aliyekua akimnyonyesha mwanae Restaurant na kumbadilisha nepi chafu. lakini kwa sasa Kim huyo huyo alikua akipinga  ndio anafanya maswala ya kunyonyesha hadharani kwa ukamilifu.


Friday 14 June 2013

WILL SMITH AMLA DENDA MWANAE JADEN!

Katika hali ya kawaida lazima ishangaze lakini lengo lilikuwa ni kuonyesha tu ni jinsi gani baba yaani Will Smith anampenda na yuko karibu mno na mwanae Jaden Smith mpaka kufikia hatua ya kumla denda mbele ya kioo cha Thai Television walipokwenda kui-promote movie yao ya 'After Earth'! 

Woody Milintachinda ndiye mwanzilishi wa tukio hilo katika kipindi chake cha The Woody Talk huko Thailand pale alipouliza kama Will na Jaden wana ukaribu wowote kama baba na mwana katika maisha yao ya kawaida (maisha halisi) kwasababu kwenye movie yao walioitoa hivi karibuni ya 'After Earth' hakuna ukaribu wowote baina yao. Katika kutaka kuudhihirishia ulimwengu kuwa yeye na mwanae wako karibu kuliko watu wanavyofikiri basi akaamua kumpiga kiss mwanae Jaden




Hii ndio trailer la 'After Earth':-


:

Wednesday 12 June 2013

ASHANTI KUTOKA UPYA NA JA RULE

Unazikumbuka hits "Always On Time" and "Mesmerize". Ni ngoma zilizowatakatisha vizuri Ja Rule na Ashanti na kuwafanya waoenekane moja kati ya collaboraters wakati huo. Sasa baada ya Ja Rule kutoka jela, Ashanti amesema kuwa yupo mbioni kufanya tena ngoma kadhaa na rapper Ja Rule. 


Wakati huo huo Ashanti yupo katika harakati za kutoa albam yake mpya "BraveHeart" itakayotoka tarehe 30 July akiwashirikisha wasanii kama Meek Mill, french Montana na singer Keyshia Cole.


Tuesday 11 June 2013

MARIO BALOTELLI AMVISHA PETE DEMU WAKE!

Kupitia akaunti yake ya Instagram, mpenzi wake 'Super' Mario Balotelli, Fanny Negeusha amepost picha ya pete yake ya uchumba aliyovishwa na Balotelli. Pete hiyo inagharimu kiasi cha £100,000/=.


Fanny Negeusha, Belgian model aliandika chini ya picha hiyo kuwa 'It's official!'. Miezi 6 imepita toka uhusiano wao uanze na inasemekana kuwa Balotelli na Fanny wako katika maandalizi ya harusi yao!




Monday 10 June 2013

RIHANNA AVUNJA REKODI UFARANSA

Haijawahi kutokea! Katika umri wa miaka 25 tu, Rihanna ameweza kuweka historia kwa kuujaza uwanja wa kandanda wa Stade De France alipogonga show yake ya wazi Week-end hii. Ni Lady Gaga pekee ndio aliyekuwa ameishikilia rekodi hiyo kwa kuutitirisha uwanja huo akiwa na umri mdogo, miaka 26 lakini Rihanna amemfunika vibaya Lady Gaga huku Rihanna akiwa ana miaka 25 tu.


Mmoja kati ya fans wake ali-tweet hivi baada ya show hiyo:
"Rihanna is also the youngest person to ever headline Stade De France"




CHRIS BROWN MAHAKAMANI LEO

The bad boy Chris Brown anatarajiwa kukutana uso kwa uso na pilato leo hii mezani kukiwa na mashtaka yanayomkabili kwamba hakukamilisha muda rasmi aliotakiwa kuitumikia jamii (community service), ikiwa kama adhabu baada ya kukutwa na hatia ya kumchapa makonde aliyekuwa girlfriend wake, Rihanna, mwaka 2009. Chriss Brown alitakiwa aitumikie jamii kwa siku 180 na April mwaka huu alikuwa mahakama lakini pilato aliihairisha kesi hiyo baada ya kukosa baadhi ya taarifa muhimu.


Chris Brown yupo mbioni kutoa albam yake ya 6 iitwayo "X", tarehe 16, July akiwashirikisha Kendrick Lamar, Nicki Minaj, Wiz Khalifa na Jennifer Lopez na tayari ameshatanguliza ngoma ya 'Fine China" ambayo ipo namba 31 katika Billboard Hot 100 chart. 


KANYE WEST ASHEREHEKEA BIRTHDAY BILA KIM KARDASHIAN

Kanye West ametimiza miaka 36 na kuangusha bonge la party la kimya kimya. Party hili liliwahusisha watu wake karibu tu wakiwemo Beyonce na Jay Z. Nas pia alikuwepo mjengoni. Ila kilichowashangaza watu wengi ni kutoonekana kwa mama kijacho wake, Kim Kardashin. 


Lakini wataalam wa mambo wanasema kuwa Kim K alishindwa kupaa mpaka New York kwavile yupo katika nyakati za majeruhi akikaribia kabisa siku zake za kumleta duniani mtoto wake wa kwanza ambaye tayari madaktari wameshasema kuwa atakuwa mwenye jinsia ya kike! 


Friday 7 June 2013

NAZIZI AMWANIKA MTOTO WAKE!

Nazizi, rapper toka Kenya wa crew ya Necessary Noise amemwanika mtoto wake wa kiume anaitwa Tafari  huko Nai! Nonini ameonekana akiwa na Tafari muda mwingi na hasa hivi majuzi alipokuwa na katika breakfast show, OneFm. 


Mwaka huu Tafari anatimiza miaka 3 na anaoneka he is just like his mother kwa swaga zake.



Wednesday 5 June 2013

MR NICE ATEMWA GRANDPA RECORDS, KENYA.

Baada ya kufulia kimuziki achilia mbali maisha, star wa 'Kikulacho' toka nchini Tanzania aliamua kuhamishia shughuli zake za kimuziki nchini Kenya. Na huko Kenya alidaka dili la kusaini mkataba na GrandPa records na kufanikiwa kurekodi ngoma kadhaa. Miezi miwili sasa imeshapita toka alambe mchongo huo lakini hii leo the CEO wa kampuni GrandPa records, Refigah aliitisha press conference na kutangaza kumtema Mr. Nice.


Refigah alieleza sababu za kumwaga Mr. Nice ni pamoja na uzembe wa msanii, kutokuwa mshindani kimuziki na msanii mwenewe kutoheshimu mkataba huku ikisemekana kuwa kumbe Mr. Nice alikuwa na mkataba na record label nyingine huku Tanzania angali amesaini na GrandPa records.





PREZZO AANGUKA AKIPAFOMU STEJINI