Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 27 August 2012

P SQUARE WAKIWA NA RICK ROSS UK KWENYE AFROBEAT FESTIVAL

KANYE AMFANYA KIM K KUBADILI NGUO ZAKE ZOTE


Kanye West anamtaka mpenzi wake Kim Kardashian avae mavazi ya heshima na ya kuvutia.


Katika kipindi cha jana cha Keeping Up With the Kardashians, rapper na mbunifu huyo wa mavazi, 35 – ameweka deal na mpenzi wake huyo wa miezi mitano kuwa kama atazitupa nguo zake zote atamnunulia zingine.

BBC DIRA YA DUNIA KURUKA LIVE LEO KWENYE TV

Saleem Kikeke

Matangazo ya televisheni ya Dira ya Dunia ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC leo yanaanza kuruka rasmi kupitia Star TV ya Tanzania na Qtv ya Kenya.

Wiki iliyopita kulifanyika uzinduzi wa matangazo hayo jijini Dar es Salaam.

Matangazo hayo ya Dira ya Dunia kwa upande wa radio ni maarufu zaidi pengine kuliko matangazo yote ya radio za kimataifa zinazotangaza Kiswahili duniani.

Kuingia kwenye matangazo ya runinga kwa BBC Swahili kunafungua ukurasa mpya wa matangazo ya aina hiyo ya Kiswahili nchini.

BBC Dira ya Dunia siku za usoni itakuwa ikishindana na matangazo mengine ya Kiswahili ya Al-Jazeera ambayo yapo kwenye mchakato wa kuanzishwa.


CHIWAWA WA KENYA AZINDUA MAJI YAKE



Rapper wa Kenya aliyewahi kutamba na ngoma kali iitwayo ‘Mnafeel aje’, Chiwawa amezindua maji yake ya kunywa.

Maji hayo yanaitwa Minerva jina la kigiriki la mungu wa busara aliyekuwa akihusishwa na maji katika sehemu ya story zake.

Kwa upande wa Tanzania, Lady Jaydee aliwahi kujaribu kuanzisha maji yake lakini hata hivyo hayakuendelea kutolewa kutokana na sababu ambazo hazikuwekwa wazi.

SINTA APIMA NGOMA



"zoom ,,,,, tena zoom halafu hii ndio habari ya blue monday"

"Sisemi nao eeh,sisemi nao wanao comment mbofu mbofu kuhusu jlo,,
Waganda hapa wangesema nakowaaaaa, maana mtoto wa watu sili silali sihemi
sina la kusema zaidi, mimi huwa ninafanya vitendo tu,, Je wewe umepima? au kazi kushadadia ya watu,,, haya zueni balaa lengine hili naona mmeloana na macho yamewatoka kama fundi saa akiangalia mishale kama iko sawa.
Kama nawaona mlivyokuwa na hasira n comment lolest."

NEW SONG FROM PAH ONE -ASAMBEENI




MDOGO WAKE KANUMBA ARITHI MIKOBA YA KAKA YAKE


Ni miezi kadhaa imepita sasa tangu kifo cha one of the best actor ever in Tzee film industry kwa jina la Steven Kanumba kitokee. Na Mama mzazi wa Marehemu Steven Kanumba kusema kampuni ya Kanumba The Great itakuwa inafanya kazi chini ya usimamizi wa Seth Bosco na Abela au Mrs Bile ambae ni dada yake na Marehemu Steven Kanumba ambae Kanumba ndio alikua anamfata kwa kuzaliwa.
Latest infoz nikuwa company hiyo  imeshakamilisha movie mpya kwa jina la “Malaika” ikiwa imeshirikisha wasanii km Rose Ndauka, Abdalah Mkumbila, Seth Bosco na Kijana Rammy Galis ambaye anatarajiwa kuwa Kanumba part 2 kutokana na muonekano wake kufanana na The late Steven Kanumba.
Filamu hii inatarajiwa kuwaburudisha mashabiki wa Kanumba na itasambazwa na Steps Entertainment LTD , kaa mkao wa kula kijipatia Copy yako pindi itapokuwa madukani.