Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 27 August 2012

MDOGO WAKE KANUMBA ARITHI MIKOBA YA KAKA YAKE


Ni miezi kadhaa imepita sasa tangu kifo cha one of the best actor ever in Tzee film industry kwa jina la Steven Kanumba kitokee. Na Mama mzazi wa Marehemu Steven Kanumba kusema kampuni ya Kanumba The Great itakuwa inafanya kazi chini ya usimamizi wa Seth Bosco na Abela au Mrs Bile ambae ni dada yake na Marehemu Steven Kanumba ambae Kanumba ndio alikua anamfata kwa kuzaliwa.
Latest infoz nikuwa company hiyo  imeshakamilisha movie mpya kwa jina la “Malaika” ikiwa imeshirikisha wasanii km Rose Ndauka, Abdalah Mkumbila, Seth Bosco na Kijana Rammy Galis ambaye anatarajiwa kuwa Kanumba part 2 kutokana na muonekano wake kufanana na The late Steven Kanumba.
Filamu hii inatarajiwa kuwaburudisha mashabiki wa Kanumba na itasambazwa na Steps Entertainment LTD , kaa mkao wa kula kijipatia Copy yako pindi itapokuwa madukani.

No comments:

Post a Comment