Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 14 February 2013

CHRIS BROWN NA DRAKE USO KWA USO MAHAKAMANI!


Unalikimbuka vizuri lile varangati lililotokea club moja ya usiku huko New York City kati ya Drake na Chris Brown? Lile soo sasa lipo mezani kwa pilato! Model mmoja, Romain Julien, ambaye alikuwepo usiku ule amelianzisha kwa kwenda mahakamani na kuwashtaki kuanzia Chris Brown, Drake mpaka club yenyewe, kwa majeraha aliyoyapata usiku ule kwa kile kinachoelezwa kuwa fujo hizo zilihusha kurushiana vyupa. 

Sasa kusikia hivyo Brown na Drake kwa nyakati tofauti leo hii wameenda mahakamani kila mmoja akimshtaki mwenzake kwamba anahusika na fujo pamoja na uharibifu wote uliotokea usiku ule.

Drake na Brown kwa nyakati tofauti huko nyuma walikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Rihanna, hicho ndio chanzo cha vurumai yenyewe!