Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 18 March 2013

SIKU YA 6: LIL WAYNE BADO HAJITAMBUI ICU!

Ni siku ya sita sasa toka Lil Wayne akimbizwe hospitali, L.A.'s Cedars-Sinai hospital akiwa hajitambui. Na bado mpaka sasa yupo ICU akiwa hajitambu. Ni kutokana na utumiaji wa madawa ya kulevya kupindukia. 

Mastaa wakiwemo Drake na Nicki Minaj, Eminem, Birdman na wengine kibao walimiminika hospitali kumjulia hali Wayne. Kitanda cha Lil Wayne kimezungukwa na ndugu jamaa na marafiki wakimwombea afya njema na vilio vimetawala pia hospitalini hapa!

 
Madaktari wanaomtibia Wayne ilibidi wali-flash tumbo lake mara 3 ili kuondoa madawa ya kulevya aina ya 'codeine' baada ya Lil Wayne kubugia madawa hayo kupitiliza!

















P-SQUARE WAISIMAMISHA MALAWI!

The Alingo stars, P-Square wako katika tour yao katika mataifa ya barani Afrika na wik-end iliyokwisha walikuwa nchini Malawi na kuangusha bonge moja la show. Show ilikuwa hivi:








JUMBA BEI GHALI ZAIDI NCHINI UINGEREZA!

Hii ndio nyumba ghali nchini Uingereza. Kutokana na bei yake kuwa juu sana ilibidi ipunguzwe kwa takribani pauni milioni 35. Na hii imechukua miaka miwili bila mnunuzi kupatikana.  Na sasa bei yake ni pauni milioni 65 tu!


Bangaloo hili lina vyumba 14 vya kulala na linapatikana katika mtaa wa Hampstead, mtaa huu unajulikana kama 'Billionaires' row' kwa sababu wakazi wa eneo hilo ni wanauwezo kiuchumi!



 Jumba hili la kifahari lilijengwa mwaka 1910 liliwekwa sokoni toka mwaka 2011 na bei yake ilikuwa ni pauni za Uingereza, milioni 100.