Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 18 March 2013

SIKU YA 6: LIL WAYNE BADO HAJITAMBUI ICU!

Ni siku ya sita sasa toka Lil Wayne akimbizwe hospitali, L.A.'s Cedars-Sinai hospital akiwa hajitambui. Na bado mpaka sasa yupo ICU akiwa hajitambu. Ni kutokana na utumiaji wa madawa ya kulevya kupindukia. 

Mastaa wakiwemo Drake na Nicki Minaj, Eminem, Birdman na wengine kibao walimiminika hospitali kumjulia hali Wayne. Kitanda cha Lil Wayne kimezungukwa na ndugu jamaa na marafiki wakimwombea afya njema na vilio vimetawala pia hospitalini hapa!

 
Madaktari wanaomtibia Wayne ilibidi wali-flash tumbo lake mara 3 ili kuondoa madawa ya kulevya aina ya 'codeine' baada ya Lil Wayne kubugia madawa hayo kupitiliza!

















No comments:

Post a Comment