Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 19 March 2013

GHARAMA ZA WASANII HAWA KUPIGA SHOW NI NOMA!

Tajiri la kutupwa huko South Afrika,  Vivian Imerman amemchomolea msanii Adele toka Uingereza ku-perform katika harusi ya binti yake, Megan kutokana na gharama za msanii huyo kuwa juu mno. British singer Adele anahitaji pauni milioni 2.5 ili kutua South Africa na kupiga show hiyo. Hii ina maana kuwa kwa dakika 1 Adele anahitaji kulipwa pauni laki 1 na kwa vile show yake ilihitajika kuchukua dakika 25 hivyo ghararma yake ikawa pauni milioni 2.5!

Ikumbukwe miaka 2 iliyopita Taikuni hili lilimlipa Amy Winehouse maelfu ya dolari kwa ajili ya ku-perform katika harusi ya dada yake Megan, Bianca na alitarajia hivyo kwa Adele lakini alishangazwa kwa bei juu aliyoitaka Adele. Lakini dhamara ya  Vivian Imerman iko palepale na sasa anasaka msanii mwingine tofauti na Adele!


Adele
Wasanii wengine pamoja na gharama zao za kupiga show ni kama ifuatavyo:-
1. Jay Z & kanye West - $3,000,000
2. 50 Cent - $2,000,000
3. Eminem - $1,650,000
4. Rihanna - $800,000
5. Lil Wayne -  $500,000
6. Drake - $155,000
7. Nicki Minaj - $150,000
8. Akon - $120,000
9. T.I. - $110,000
10. Snoop Dogg - $105,000

No comments:

Post a Comment