Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Sunday 17 November 2013

WASHIRIKI WA TANZANIA TOP MODEL WAANZA KUFUNDISHWA DANSI LEO

 Mwalimu wa dansi 'bad spencer' akitoa mafunzo kwa washiriki wa Tanzania Top Model 2013,mazoezi haya yameanza jioni ya leo na yataendelea kwa wiki tatu zijazo,dansi ya ufunguzi ni kitu muhimu kwa mashindano ya mitindo na urembo.
WAshiriki wakijaribu kumfatilia kwa vitendo mwalimu wao ambapo steps zilikuwa ngumu kidogo ila modoz wanajitaidi kumudu japo ilikuwa ni siku ya kwanza.
Ni step kwa step sambamba na mwalimu haina kupoteza point.
   Mwendo sebene sasa....watu weweeeeee..!!
mmmmh usiniguse mie..!!
 
 Mwalimu Bad spencer akitoa maelezo kwa kina washiriki wa Tanzania Top Model 2013 jinsi ya kutumia viungo vya mwili kutengeneza umbile la kitu kingine.
 
 
 
 
 
 
 
 Matroni'Zakia' akiwa amepozi kwa kiti.