Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 18 February 2013

KIM KARDASHIAN APAGAWISHA NIGERIA

American favorite reality Tv star Kim kardashian a.k.a Mrs Kris Humphries ambaye very soon atakuwa mama wa mtoto wa Kanye West, yupo Lagos na sababu ya uwepo wake ni ku co-host concert ya Darey Alade, ‘Love Like A Movie’, Eko Hotel, jana usiku!



Hii ni mara ya kwanza kwa KK kwenda Nigeria na kama kawaida usiku huo alitokelezea na her favorite thing to wear toka aanze mahusiano na KW, kitu cha Leather! Na kuongezea na Black heels na make up ya wastani.



Kama ilivyotarajiwa na wengi ndivyo ilivyotokea. KK alifanya kile kilichotakiwa kufanywa na mtu wa level yake kwa kuipeleka concert international level!


BEYONCE: BLUE IVY NI NOMA!

Unaambiwa katika umri wa miezi13 mara nyingi watoto huanza kutambua taratibu vitu na watu wanaomzunguka tu. Hadithi ni nyingine kwa binti wa Beyonce na Jay Z, katika umri huo Blue Ivy herself ameshaanza mpaka kujua kusoma! 
 


Beyonce alisema hayo katika interview yake na Oprah Winfrey iliyokuwa inahusu documentary yake. “Ana akili sana. Ameshaanza kusoma maandishi katika vibao. Ni mzuri pia”. 



Vibao hivi mara nyingi hutumiwa na wazazi kwa ajili ya kuwafundishia watoto wao jinsi ya kusoma kwani licha ya kuwa na herufi pia zina picha.