Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 28 February 2013

SCHWARZENEGGER APATA DAKTARI WA MOYO WAKE!

Terminator, Arnold Schwarzenegger yuko katika mikono salama sasa. Ipo hivyo kwa sababu demu wake mpya ni daktari bingwa! Anaitwa Heather, na kwa mara ya kwanza walionekana katika dinner date huko Santa Monica!



Vyanzo vya udakuzi vinasema kuwa Heather sio dokta wa kawaida tu vile alishawatibu watu wazito mbalimbali akiwemo mkimbiaji maarufu, George St-Pierre. So haijajulikana kama Heather anamtibia Schwarzenegger na ni kwa ugonjwa upi! Infact she is not in the normal group of people who treat Governator, Schwarzenegger.

We smell romance.....

Wednesday 27 February 2013

CIARA NA FUTURE MAMBO HADHARANI

Ciara na mpenzi wake mpya rapper Future wakiwa  Beverly Hills just for dinner date



They left together arm in arm after the romantic dinner date.

BEYONCE AJA NA KIATU CHA WANYAMA

Apart from music pia ni designer mkali wa mavazi. But this time around, Beyonce is taking shoe fashion to the next level. Jay Z’s wife anakuja na kiatu. Kiatu hiki kimetengenezwa kwa materials mbalimbali basically ngozi za wanyama.

PMZ au Perfectly Made Kicks ndio kampuni iliyolamba tenda yakutengeneza kiatu hicho. Ngozi za wanyama zilizotumika mpaka kukamilisha kiatu kimoja kutengenezwa ni pamoja na ngozi ya mbuni, mamba, ndama na anaconda.

Viatu hivi vimepewa jina “The King-Bey”  vimeshaidhinishwa na Beyonce mwenyewe tayari kuingizwa sokoni ingawa mpaka sasa hakuna bei yoyote iliyotangazwa kwa kila pair moja.Stay tuned!


Monday 25 February 2013

GOLDIE HARVEY AZIKWA LEO!


Siku 10 baada ya kufariki dunia February 14 katika umri wa miaka 30, kutokana na hypertension masaa machache alipokuwa anarudi kutoka Los Angeles alipokwenda kushuhudia tuzo za Grammy Goldie Harvey amezikwa leo asubuhi katika makaburi ya Ikoyi.

 
Mazishi ya Goldie yalianza saa 4 asubuhi na kushuhudiwa na watu wachache wakiwemo familia, ndugu na marafiki wachache. Hakuna chombo chochote cha habari kilichoruhusiwa kuripoti tukio hili!

Andrew Harvey alihudhuria safari ya mwisho ya mke wake Goldie na alikuwa na ujumbe huu:-

"Susan, you walked into my life. It was like God sent you as fresh breath. I still remember your response to my first love message. You said, ‘Love killed Romeo, sent Diana to an early grave and killed Jack on the Titanic, forget about love, just have friendship and live long.
Over time our love grew a depth I have never known. You were the best years of my life, your smile, your desire to live your dream". 

Andrew Harvey




RIP SUSAN GOLDIE HARVEY

Sunday 24 February 2013

KANYE WEST AMDIS JAY Z!

Katika hali isiyo ya kawaida, baba kijacho Kanye West amemdis rapper mchizi wake, baba Blue Ivy, Jay Z. Pamoja na urafiki wao na hata kufanya album ya pamoja iliyowaletea tuzo kibao zikiwemo za grammy na BET bado West hakusita kumtupia dongo Jigga!

Ni katika show yake ya jana huko London, England ambapo Kanye West alimchana live Jay Z aliposema, “Nina mapenzi na Hov, lakini mimi sio shabiki wa 'Suit & Tie'”. 'Suit and Tie' ni ngoma ya Justine Timberlake featuring Jay Z.

"I got love for Hov, but I ain't f--king with that 'Suit & Tie.'"

Perhaps someone is just a little jealous.
Angalia video hapa:-

MTOTO WA KANYE NA KARDASHIAN JULY HII!


Pregnant reality star Kim Kardashian pamoja na rapper boyfriend wake Kanye West  wanatarajia kupata mtoto wa kike! West, 35, ndio ameonekana kuwa na furaha zaid5  kwani muda wote alikuwa anatamani kupata mtoto wa kike.


Alipokuwa akihojiwa katika show ya Jimmy Kimmel Kim jana usiku, Kardashian alizumngumzia Kanye West kama mtu anayejua na anayekwenda na fashion na yupo so excited na anxious kumpata binti!

Habari za uhakika ni kuwa Kanye West na Kardashian wanatarajia mtoto wao wa kike ifikapo mwezi July!



Saturday 23 February 2013

OMOTOLA JALADE AITEKA HOLLYWOOD

Mambo yanaonekana kumnyookea the Nollywood screen diva Omotola Jalade Ekeinde kwa kupata nafasi ya ku-act katika tamthiliya moja huko Hollywood! Series hiyo inaitwa ‘The Bounce’. Omotola a.k.a Omosex alionekana huko Paramount Lot, Hollywood ambako series hiyo inashutiwa!


Omotola alionekana akiwa pamoja na Akon ambaye pia atashiriki katika series hiyo. Mastaa wengine washiriki wa "The Bounce" ni Kimberly Elise na Dean Cain. Haijafahamika bado Omotola ataonekana katika nafasi ipi na episodes ngapi so far!

On top of that Omosex ata-appear katika sherehe za utoaji tuzo za Oscar, kesho usiku!