Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 5 January 2013

AMBER ROSE KUSHEREHEKEA KUWA MAMA

Amber Rose ambaye ni Mchumba wa Wiz Khalifa aonyesha wazi tumbo lake kwa kuvaa mavazi ya kubana akiwa na Chriss Brown pamoja na mchumba wake Wiz Khalifa.

Akiwa katika mavazi yake ya rangi ya njano mwanadada huyo ambaye ana umri wa miaka 29 hakuacha kutabasamu muda wote huku akipiga picha kuonyesha tumbo lake la ujauzito akiwa ni mama mtarajiwa.

Amber Rose Akipiga picha kwa tabasamu.

Amber Rose, Chriss Brown na Wiz Khalifa wakipiga picha wote wakiwa katika hali ya furaha

MARIO BALOTELLI AMWAGWA

Mshambuliaji wa timu ya Manchester City Mario Balotelli aachwa na Mpenzi 
wake Tabby Brown ambao wamedumu kwa muda wa miezi saba tu na kuingia mikononi mwa Msanii wa R&B Trey Songz. Mwanadada huyo alidai kuwa amechoshwa na kutoeleweka kwa mpenzi wake huyo Mario Balotelli na kuamua kuondokana na adha hiyo kwa kumtema.



                                         MARIO BALOTELLI                TABBY BROWN

TREY SONGZ