Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 26 January 2013

MVUA YAMNYEA DAVID BECKHAM

Jana Ijumaa David Beckham alionekana akirandaranda jijini London. Tofauti na hali ya hewa ya jua huko Los Angeles,London ni baridi na mvua. Akiwa bado matembezini mara mvua ikaanza kunyesha hivyo kumfanya Beckham kuhaha akitafuta sehemu ya kujikinga.

Achana na dhahama iliyomkuta bado Becks alionekana so stylish as usual. Juu alitupia kofia almaarufu baker boy flat cap, viatu vya brown akimechisha na t-shirt yake cheki his narvy valvet jacket.

Beckham ,Vicky na familia yake wamerudi jijini London baada ya kumaliza mkataba na timu ya Los Angeles Galaxy.
Welcome back Becks!
 







Beckham akitoka nduki


TIMBERLAKE NA JAY-Z NDANI YA SUIT NA TIE

He is the mastermind behind Rihanna’s 2007 comeback track Umbrella. This time around anamrudisha tena the former ‘N Sync star, Justin Timberlake. He is Shawn Carter a.k.a Jay-Z katika mtoko mpya wa Timberlake, "Suit and Tie"! 

Ijumaa (jana), Jay and Timber walikuwa very busy wakitengeneza video ya ngoma hiyo mpya na one of the very interesting part of that video ni pale Timber anapoonekana ameshikilia mwamvuli mweupe wakati Jay akiitupia mikono yake mifukoni, kama hana habari vile!

Ni matayarisho ya albam mpya ya Timberlake iitwayo 20/20 Experience ambayo rasmi itakuwa sokoni March 19. Stay Tuned!


Timberlake & Jay-Z

Justin Timberlake