Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 3 July 2013

NANDO KUTIMULIWA BBA

Mwakilishi wa Tanzania Nando  katika jumba la Big brother huenda akatimuliwa.
kwa mujibu wa big ambae alimuita Nando kumpa habari hyo, na kisa chenyewe ni Nando baada ya kuingia na Kisu katika party ambayo big huwaandalia kila siku ya jumamosi.
Big alimuita Nando katika Diary room nakumuonyesha clps ya video ambayo ilionyesha Nando ameshika kisu na alipo ulizwa ni kwa nini alikua na kisu wakati ni hatari kwa usalama wake na washiriki wenzake Nando alijibu alijisahau alipo maliza shughuli ya kutumia kisu kukiacha na badala yake alikiweka mfukoni lakini hakua na nia ya kumzuru mtu Big alimwambia akawaeleze washiriki wenzake kwa nini aliingia na kisu na alifanya hivyo kwa kuwaeleza ni kawaida yake hata akiwa nyumbani anapenda kucheza na kisu na hapo alijisahau lakini hakuwa na nia ya kumzuru mtu na akaomba msamaha 
lakini washakunaku kwenye jumba hilo wanaona ni kama wivu wa mapenzi ulimpata baada yeye na Sulu wote wakiwa wanachezewa akili na binti mtata Selly Big amempa onyo la Mwisho Nando na akifanya kosa jingine atafukuzwa kwenye jumba hilo.

 Nando
  Fatima ,Nando na IK