Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 19 January 2013

CHRIS BROWN NA RIHANNA JIKONI!

They are back! Not in love this time but kikazi zaidi.  Hii itakuwa collabo yao ya nne kwa Chris Brizzy na Rihanna ambao wameonekana wakitoka studio kurekodi pamoja. Mwaka jana Chris na Riri waliitingisha dunia kwa kufanya remixes ya ngoma zao, Birthday Cake na Turn Up the Music. 

Brown na Riri walioanza mapenzi yao mwaka 2008, walifanya collabo ya kwanza katika ngoma ya Umbrella ambayo Brizzy aliita Cinderella!

Ingawa bado haijajulikana ngoma hiyo itakuwa katika album ipi Rihanna bado ana shauku ya kuujulisha ulimwengu kuwa sasa Chris Brown is back in her life! The talk that talk ni kuwa Riri ameachia kipande cha ngona yake "Stay" katika akaunti yake ya Instagram yenye maneno, "Not really sure how to feel about it, Something in the way you move, Makes me feel like I can’t live without you. Funny you’re the broken one but I’m the only one who needed saving."

Kazi na dawa! Baada ya kurekodi ngoma, Brown na Rihanna waliibuka Emerson nightclub, Hollywood na baada ya kuparty pamoja, Rihanna alionekana akizama mjengoni mwa Chris Brown for a night cap!




































                      Brown na Rihanna wakitoka studio


 Rihanna akizama mjengoni mwa Brizzy

                               "Nobody's Business"









JUSTIN BIERBER ASHINDA KESI!

Justin Bieber ameibuka kidedea dhidi ya mwanamke mmoja aliyemfungulia kesi ambayo Bieber alitakiwa kumlipa bi-mkubwa huyo dola milioni 9.

Mwanamama huyo alifungua kesi akimlalamikia Bieber kupasuliwa ngoma za masikio yake kwa mziki mzito na makelele ya nyomi la watu waliohudhuria concert ya Bierber iliyofanyika mwaka 2010. Mama huyo aitwaye Stacey alihitaji fidia ya dola milioni 9 lakini cha kushangaza, wiki iliyopita aliiomba mahakama kuitupilia mbali kesi hiyo. 

Sababu ya kuiomba mahakama kuiweka kapuni kesi hiyo, Stacey alisema kuwa hana wakili hivyo kuendelea na kesi hiyo haitowezekana ingawa bado anaamini angeweza kushinda kesi hiyo.

  JB