Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 19 January 2013

JUSTIN BIERBER ASHINDA KESI!

Justin Bieber ameibuka kidedea dhidi ya mwanamke mmoja aliyemfungulia kesi ambayo Bieber alitakiwa kumlipa bi-mkubwa huyo dola milioni 9.

Mwanamama huyo alifungua kesi akimlalamikia Bieber kupasuliwa ngoma za masikio yake kwa mziki mzito na makelele ya nyomi la watu waliohudhuria concert ya Bierber iliyofanyika mwaka 2010. Mama huyo aitwaye Stacey alihitaji fidia ya dola milioni 9 lakini cha kushangaza, wiki iliyopita aliiomba mahakama kuitupilia mbali kesi hiyo. 

Sababu ya kuiomba mahakama kuiweka kapuni kesi hiyo, Stacey alisema kuwa hana wakili hivyo kuendelea na kesi hiyo haitowezekana ingawa bado anaamini angeweza kushinda kesi hiyo.

  JB



No comments:

Post a Comment