Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 8 February 2013

JAY Z SURA MBAYA!


The American actress, singer, and fashion designer, Amanda Bynes, 26, leo hii ameandika katika ukurasa wake wa twitter na pia ku-attach hata picha kuwa Honorable Mr Carter a.k.a Jay Z ana sura mbaya. Lakini haukupita muda, aliiondoa picha hiyo bila kuomba radhi!
Ukurasa wa Amanda Bynes



Amana Bynes
Jay Z hakuonekana kujali pengine kwa kutofahamu lolote kuhusiano na kile alichoandika Amanda na badala yake alikuwa zake Venice pamoja na mke wake Beyonce na binti yao Blue Ivy!
Mr Ugly face?

CHECK KICHUPA KIPYA CHA STEVE R N' B FT. OMMY DIMPOZ