Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 4 April 2013

CHRIS BROWN AJA NA AZONTO, AWAKERA WAGHANA!


Rihanna's boo Chris Brown amelikoroga! Ni baada ya jana kufanya interview moja na BET na kutangaza kuwa katika video yake mpya ya single, 'Fine China' atakayoitoa hivi karibuni itakuwa na dance yenye style ya Azonto. Na akakiri kuwa style hiyo alifundishwa na WizKid msanii toka Nigeria hivyo kuonekana kana kwamba style hiyo ni ya Wanigeria.
Hapo ndipo msala ulipoanza kwani Waghana wanahisi Chris Brown alikosea kwa kusema kuwa asili ya Azonto ni Nigeria. vymbo vya habari huko Ghana havikuwa nyuma katika hili kwani blog moja 'Ghana Celebrities’ aliandika,
"Chris Brown Talks About AZONTO On BET, But He Says The Dance Is A Nigerian Thing". Mtandao huo uliendelea kuandika, "It seems Chris Brown coming to Ghana and introducing Nigerian artiste-Wizkid on stage to do Azonto was not a mere mistake. In fact, Chris Brown thinks Azonto is a Nigerian thing. Probably he is taking the piss out of Ghanaians by failing to credit Ghana with the dance which has gained international recognition"

Kwa upande mwingine Chris Brown pengine hajui lolote kuhusu asili ya Azonto na kwa vile alifundishwa kucheza style hiyo na WizKid msanii toka Nigeria ndio maana Chris Brown anaihusisha Azonto na Nigeria na sio Ghana!

EXCLUSIVE: KANYE WEST & KIM KARDASHIAN WAMWAGANA!

Rapper Kanye West na The reality Tv show star Kim Kardashian wameripotiwa kuachana. Ingawa hakuna taarifa rasmi kutoka kwao lakini gigs has it kuwa mastaa hawa ambao kila kukicha hushika vichwa vya habari duniani si wapenzi tena.
Inasemekana mastaa hawa wanashindwa kutangaza kuachana wakihofia vyombo vya habari pia kuachana kwao kutaonekana kumetokea muda mfupi sana tangu waamshe penzi lao. Pia sababu nyingine inayowafunga mdomo ni mtoto wanayetarajia kumpata hivi karibuni! Sababu ya tatu Kanye anasubiri mpaka ali-release album yake mpya.