Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 2 April 2013

KWANZA FM YA LADY JAY DEE IPO NJIANI!

Nani kakwambia mtu mzima anatishiwa nyau? Maisha mipango. Huyu ndie ‘Anakonda’! Lady Jay Dee a.k.a Judith Habash mwenyewe ame-break tena the pieces of news kwamba kituo chake cha redio kipo karibu kufunguliwa! Oh my God!

“Kwanza FM coming soon. Yangu mwenyewee
— Lady JayDee (@JideJaydee) April 1, 2013

Huwezi kuanza mapambano km hujajizatiti, si utapigwa ufe? Vita ni pale tu unapokuwa tayari. Sikuwa tayari huko nyuma ndio maana sikuongea — Lady JayDee (@JideJaydee) April 1, 2013


Tweets hizi zimekuja baada ya kuishutumu The Super Brand Radio Station Clouds Fm kwa kile alichokiita ni kumbania kwa kupiga nyimbo za wasanii ambazo watu ama mashabiki hawazikubali ilihali bado kituo hicho kinajiita redio ya watu!

Anaconda