Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 22 February 2013

WIZ KHALIFA + AMBER ROSE = SEBASTIAN 'THE BASH' TAYLOR THOMAZ

Hatimaye penzi limejibu. Habari njema kwa whole world of entertainment kwamba rapper Wiz Khalifa na supa model Amber Rose wamepata mtoto wa kiume na kupewa jina la Sebastian 'The Bash' Taylor Thomaz na Wiz Khalifa. Asubuhi ya Ijumaa Amber, 29, ali-break the news yote kuwa the new baby born is in town!


Cameron Jibril Thomaz a.k.a Wiz, 25,  alionekana akiwa so emotional huku akiwa amembeba mwanae mikononi. Later Wiz alitweet kitu cha kushangaza. Eti baada ya Amber kujifungua kitu cha kwanza kuhitaji ni 'whiskey na sigara'!
 

Kwa nyakati tofauti wazazi wote, Wiz na Amber walijipongeza kwa kumpata mtoto, pia Rihanna alitweet pongezi za kutosha kwa Amber kwa kumleta duniani Sebastian ‘The Bash’