Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 18 January 2013

KENYA'S RICHEST FEMALE CELEBRITY; SIZE 8 OR THE DRUMMER QUEEN?


Kufuatia taarifa zinazoifunika Kenya's music industry kuwa Size 8 ndio the richest celebrity kutokana na endorsements kadhaa na makampuni makubwa kama kampuni ya mtandao wa simu Safaricom na Royal Media Services na kumfanya aingize mkwanja mrefu katika bank accounts zake huko Kenya.

However, mtazamo huo umepingwa vikali na baadhi ya wachambuzi wa masuala ya burudani na kum-crown "Mikono kwenye Hewa" singer Muthoni the Drummer Queen kama ndiye the female artist anayekamata mpunga mnono zaidi ya duu yeyote. Hii imetokana na calculations zilizofanywa kutoka katika biashara anayofanya The Drummer Queen ya "Blankets and Wine".

Mahesabu yaliyofanywa fastafasta tu Muthoni the Drummer Queen anakadiriwa kulamba mpaka 15 Million Kenyan Shillings Per Month. 

There is absolutely NO OTHER female celeb with a cashflow source like that in Kenya. Hata huyo Size 8 hakamati hapo.

Muthoni The Drummer Queen

 Size 8
 

"FOR GIRLS ONLY"

Peter Okoye one half of P-Square hivi majuzi alipost picha hizo hapo chini katika ukurasa wake wa Instagram with the above heading as a caption.

Is he trying to attract beautiful ladies out there with his "six packs"?

  Do you feel him girls out there?


                            Take yo shirt off!

                            Like Fally Ipupa like Peter Okoye!

   With his Lamborghini Gallardo worth USD 200,000

EXCLUSIVE: BILIONEA NO.1 AFRICA ANUNUA BOTI YA KIFAHARI!

Aliko Dangote, bilionea namba moja Africa kutokana na takwimu za Forbes Magazine akikadiriwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 12, juzi tarehe 17 alifanya kufuru ya kununua boti ya kifahari na kuipa jina la "Mariya"

Chairman huyo wa Dangote Group of companies amefanya kununua just the same yatch na ile ya mpinzani wake Femi Otedola kukiwa na utofauti mdogo sana.

    Tabasamu la fwedha, Mzee Dangote.

    Boti la Aliko Dangote.