Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 20 August 2013

BOBI WINE AMCHANA BEBE COOL!


Ni muda sasa umepita tangu bifu la Bobi Wine na Bebe Cool lianze na sio kwamba linaelekea kufifia au kufa, la, bado mafahali hawa wawili hawaivi chungu kimoja! Na juzi tu Bobi Wine alikuwa na haya kumwambia Bebe Cool.
 

"Sina tatizo lolote na Bebe Cool lakini ana matatizo na yeye mwenyewe, ni kama vile watoto wadogo wakati mnakua. Wengine hukua na kupevuka haraka na wengine hubaki nyuma kama yeye ila sitaki anirudishe nyuma. Ni kama vile niliponunua ndege yangu, yeye hupenda kuzungumzia vitu vyangu kwa vile nam-inspire, inafurahisha sana"