Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 27 March 2013

D' BANJ AMTWANGA MAKOFI MANAGER WAKE, AMTIMUA KAZI!

Wiki chache zilizopita, aliyekuwa manager wa Koko Master, Dapo Oyebanjo a.k.a D'banj, Abisagboola Oluseun John aka Bankuli alifukuzwa kazi na kichapo juu! Chanzo cha data hii kinasema kuwa mnamo December mwaka jana baada ya show, 'Koko concert', Bankuli alipaa zake kwenda Paris Ufaransa kuipigia promo album mpya ya Kanye West bila kumpa taarifa D'Banj. Koko Master akampa vitasa/makofi na kumtimua kazi right away!
Bankuli alivunja ukimya na alikuwa ana yake ya kusema,"D’Banj hakunifukuza ila ni uamuzi wangu mwenyewe" Bankuli pia alikana kufanya kazi na Kanye West bila ruhusa ya D' Banj!
Inasemekana D'Banj ni msanii mgumu kum-manage. Anaamua atakacho na ni mgumu kufuata ushauri vile kila mtu anayefanya kazi naye, Baba (D’Banj) mwisho wa siku aliamua kusepa zake!
 
D'Banj na Bankuli
 

GAUNI GHALI ZAIDI DUNIANI!

The saying diamonds are a girl’s best friend has been taken to a whole new level as the world's most expensive dress has been unveiled.




 
Bei yake: £11.7m
Designer: Debbie Wingham