Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 21 September 2012

NANI KUIBUKA MALKIA WA MISS TMK LEO PALE PTA?

Shindano la kumsaka mlimbwende wa Kanda ya Temeke, Miss Temeke 2012 linafanyika leo katika ukumbi wa PTA, Sabasaba, Dar es Salaam na mshindi atazawadiwa Sh. Milioni 1.5 mbali na tiketi ya kushiriki Miss Tanzania baadaye mwaka huu.
Hawa ndio wataochuana usiku wa leo...
Edna Sylvester (21)

Catherine Masumbigana (21)  

Jesca Haule (18)

Lilian Joseph (20)

Neema Doreen (20)

Zulfa Bundala (21)

Esther Albert (19)

Agness Goodluck (20)

Flaviana Maeda (22)

Elizabeth Peter (21)

Miriam Ntakisivya (21)


Elizabeth Bonigace (19) 


Angel Gasper (19)

NEW VIDEO:DIDGE AND COLLO -'KIPUSA'

ANGALIA VITUKO VYA LADY GAGA



ALBUM YA CAMP MULLA 'FUNK TOWN' KUUZWA SHILINGI 250 ZA KENYA

Camp Mulla wanatarajiwa ku-release album yao ya kwanza toka waingie kwenye music scene kwa jina la 'Funky Town' officially hapo kesho ((22nd September 2012).
Album hii itakuwa ikiuzwa kwa shilingi 250 ya Kenya.Pia album hii yenye nyimbo kumi na tano zenye collabo za wasanii toka Kenya na nje ya nchi hiyo itakuwa ikipatikana kwenye iTunes
.

EXCLUSIVE: MIKEL OBI ALAZIMIKA KU-DELETE TWITTER PAGE YAKE



Midfielder wa Chelsea toka nchini Nigeria, Mikel Obi jana alilazimika kui-delete twitter page yake baada ya kupokea barrage of racist abuse toka kwa fans wa timu hiyo waliokuwa wakimlalamikia yeye kutokana na draw ambayo Chelsea waliipata dhidi ya Juventus, juzi jumatano usiku at Stamford Bridge.
Ikikumbukwa vizuri kwenye mchezo wao wa juzi wa ligi ya mabingwa Ulaya aka UEFA Champions, dakika ya 80 Mikel alimisplace pass ambayo ilinaswa na  Fabio Quagliarella alietumia vizuri kosa hilo na kutupia mpira wavuni na hivyo kufanya matokea ya game hiyo kuwa 2 – 2 draw.
Akizungumza kwenye interview baada ya mchezo Mikel aliyasema haya, “If I want to make up an excuse, I can. But, for me, I gave the ball away. I put my hands up, we move on,” Mikel said.
“I’m sorry about the mistake, but there are no excuses.”


Hii ndiyo kauli ya Chelsea Official kufuatia kitendo cha Obi ku-delete page yake: