Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 19 April 2013

VIDEO MPYAA: POMBE YA MADEE


BINTI YA GENEVEIVE NNAJI AFAHAMIKA!

Unaambiwa hajawahi kutokea msanii mwenye kutunza siri huko Naija kama Geneveive Nnaji. Geneveive ameweza kumficha binti yake kwa kipindi kirefu sana bila media yoyote kushtukia. Kwasasa binti yake anatimiza miaka 18 ndio kama media wanasanuka hivi.

Geneveive alipata ujauzito akiwa na miaka 15 tu. Mpaka sasa hajafahamika baba wa mtoto huyo ni nani lakini mchizi mmoja anayeitwa Acura amejitokeza na kudai yeye ndio mshua wa binti huyo!

The exclusive pictures unazoziona ni huyo binti yake Geneveive, Chimebuka a.k.a Lily akiwa zake huko Ughaibuni akimalizia high school na inasemekana modelling ndio ndoto yake!
Just beautiful like her mother.......

MSANII WA UGANDA AWAACHIA MASHABIKI WAZISHIKE NYETI ZAKE STEJINI!

Huyu ni msanii wa nchini Uganda. Akiwa on stage bila hiana wala kubana aliwaachia mashabiki wake wafanye chochote watakacho pale aliwasogelea na kuwaachia sehemu zake za siri. Baadhi ya mashabiki waliingiza mikono yao kunako nyeti za msanii huyo bila hata yeye kushtuka wala kujinasua toka kwa mashabiki hao waliokuwa wana uchu!