Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 5 June 2013

MR NICE ATEMWA GRANDPA RECORDS, KENYA.

Baada ya kufulia kimuziki achilia mbali maisha, star wa 'Kikulacho' toka nchini Tanzania aliamua kuhamishia shughuli zake za kimuziki nchini Kenya. Na huko Kenya alidaka dili la kusaini mkataba na GrandPa records na kufanikiwa kurekodi ngoma kadhaa. Miezi miwili sasa imeshapita toka alambe mchongo huo lakini hii leo the CEO wa kampuni GrandPa records, Refigah aliitisha press conference na kutangaza kumtema Mr. Nice.


Refigah alieleza sababu za kumwaga Mr. Nice ni pamoja na uzembe wa msanii, kutokuwa mshindani kimuziki na msanii mwenewe kutoheshimu mkataba huku ikisemekana kuwa kumbe Mr. Nice alikuwa na mkataba na record label nyingine huku Tanzania angali amesaini na GrandPa records.





PREZZO AANGUKA AKIPAFOMU STEJINI