Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 15 August 2013

RIHANNA TENA

Mwana Muziki Machachari Rihanna haachi vituko kila kukicha na hiki ndicho kituko kipya










REDD'S MISS ILALA NI IJUMAA HII

Shindano la kumsaka mlimbwende wa Ilala litafanyika siku ya ijumaa tarehe 16/08/03 kuanzia saa 2 za usiku katika ukumbi Mpya na wa kisasa katika jengo la GOLDEN TOWER
Katika kuelekea kilele cha shindano hilo jana usiku kulifanyika shindano la vipaji katika ukumbi wa city sport longe ambapo wasichana watano kati ya 10 walioshiriki shindano hilo walifanikiwa kutinga  fainali ambapo fainali hzo zitaendana na sambamba na kumpata Redd;s Miss Ilala 2013.
Cheki picha mbali mbali za tukio hilo.









JAY Z NA DIDDY WAMCHEKA KENDRICK LAMAR

Fasta baada ya kujitangazia Ufalme wa jiji la New York, The hot Hip Hop star Kendrick Lamar amepata majibu. Majibu yanatoka kwa legends ya game ya Hip Hop duniani, Jay Z na Sean Comb 'Diddy' kwa kusema kuwa dogo huyu ana utani sana! Kwa upande mwingine Jay na Diddy wameichukulia kauli hii kama kutafuta kiki tu ya kimuziki!