Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 15 August 2013

JAY Z NA DIDDY WAMCHEKA KENDRICK LAMAR

Fasta baada ya kujitangazia Ufalme wa jiji la New York, The hot Hip Hop star Kendrick Lamar amepata majibu. Majibu yanatoka kwa legends ya game ya Hip Hop duniani, Jay Z na Sean Comb 'Diddy' kwa kusema kuwa dogo huyu ana utani sana! Kwa upande mwingine Jay na Diddy wameichukulia kauli hii kama kutafuta kiki tu ya kimuziki! 


No comments:

Post a Comment