Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 6 July 2013

FEZA KESSY AMWAGA MITUSI KWA KISWAHILI MJENGONI

Mshiriki wa Tanzania katika jumba la big brother amejitengenezea mazingira ya kutoka mapema kwenye game baada ya kuanza kuonyesha tabia yake halisi kama ni mgomvi na anaetumia lugha chafu bila ya aibu.
ikiwa mida hii party inaendelea kulikua na  sitofahamu ya Oneal na Feza wakizozana huku Feza akimtuhumu Oneal ukaribu wak na Pokello kitu kinacho mpa mashaka kwani Feza na Oneal ni wapenzi ndani ya mjengo huo sasa ule wasi wasi wa Mapenzi umemuingia Feza.
Baada ya Feza kuingia kweny paty alienda moja kwa moja kwa mwakilishi wa Kenya Annabel na kumwambia kwamba Pokelo ni Mngese na lile tusi jingine  Kuuuu  m*****k***Feza alitamka matusi hayo katika lugha ya Kiswahili nazani alitaka Pokelo asielewe hayo Matusi.
je Feza hapo anajiweka katika nafasi gani ndani ya jumba hilo

      Feza
                             Pokello
    Feza & Oneal

  Feza & Oneal  siku ya harusi ndani ya Mjengo wa BBA