Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 9 February 2013

DIDDY AJA NA MAAJABU

Haijawahi kutokea! Kuchorwa tatuu na huku unanyolewa nywele! Lakini P Diddy amefanya hivyo. Juzi kati Sean Combs alitupia picha zake katika twitter  zikimwonyesha akinyolewa na kuchorwa tatuu kwa pamoja!
Nyoa nywele na chora tatuu
Diddy aliyekuwa anachora tatuu yenye neno ‘NEW YORK’ katika mkono wake wa kushoto na kuandika pia katika ukurasa wake wa twitter, ‘Gettin a Tat and Cut at the same damn time!! These n***** can't multitask...ha.’

Ijumaa, P Diddy aliweka historia pale alipopiga fashion show kupitia Instagram baada ya kushindwa kuhudhuria New York fashion week. Diddy aliandika, “Kupitia technologia ya instagram tunawaletea Sean John mpaka walipo watea wetu!”
Sean Combs

TIGER WOODS AMTUMIA DEMU WAKE NDEGE


Mcheza golf maarufu duniani Tiger Woods, 38, amemtumia ndege yake binafsi demu wake Lindsey Vonn aliyeko Austria ili arudi USA kwa matibabu. Vonn alipata majeraha mara mbili katika goti lake katika mashindano ya kuteleza katika barafu, Alpine Ski World Championships. 

Lindsey Vonn
Lindsey Vonn na Woods walianza uhusiano wao baada ya Woods kuachana na mkewe Elin Nordegre mwaka 2010 na Vonn kuzinguana na boyfriend wake wa muda mrefu, Thomas Vonn.
Lindsey Vonn
Tiger aliachana na mkewe Elin baada ya kukaa pamoja ndoani kwa miaka mitano na kupata watoto wawili, Samantha, 5, na Charlie, 3. Tiger ameonekana kujifunza kutokana na ,makosa yake na ameamua kuangusha moyo wake kwa Lindsey Vonn.

Tiger Woods na Elin Nordegre enzi za penzi lao

FUTENI PICHA ZANGU - KANYE WEST

Kim Kardashian’s boyfriend, Kanye West ameitaka kampuni ya Getty Images kufuta picha zake alizokuwa amevaa sketi wakati aki-perform jukwaani katika show ya Hurricane Sandy benefit concert, 2012. Sketi hiyo ilibuniwa na designer wake Mr West na Riccardo Tisci. 



Kanye amefikia maamuzi hayo baada ya kupata comments mbaya toka kwa artistes kama Chris Brown na rapa Lord Jamar. Jamar aliandika katika ukurasa wake wa twitter kuwa West alileta uvaaji wa skinny jeans katika rap na sasa anavaa sketi katika video……”
'He introduced the skinny jeans to the rap scene/Then he wore a f*****g skirt on the video screen/Then he wore it again at a memorial/I can't pretend this s**t ain't deplorable.'

Kanye alivaa tena sketi hiyo katika tour ya 'Watch The Throne' akiwa pamoja na Jay Z.

 Check video ya Kanye na sketi yake on stage: