Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 9 February 2013

DIDDY AJA NA MAAJABU

Haijawahi kutokea! Kuchorwa tatuu na huku unanyolewa nywele! Lakini P Diddy amefanya hivyo. Juzi kati Sean Combs alitupia picha zake katika twitter  zikimwonyesha akinyolewa na kuchorwa tatuu kwa pamoja!
Nyoa nywele na chora tatuu
Diddy aliyekuwa anachora tatuu yenye neno ‘NEW YORK’ katika mkono wake wa kushoto na kuandika pia katika ukurasa wake wa twitter, ‘Gettin a Tat and Cut at the same damn time!! These n***** can't multitask...ha.’

Ijumaa, P Diddy aliweka historia pale alipopiga fashion show kupitia Instagram baada ya kushindwa kuhudhuria New York fashion week. Diddy aliandika, “Kupitia technologia ya instagram tunawaletea Sean John mpaka walipo watea wetu!”
Sean Combs

No comments:

Post a Comment