Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 25 November 2013

BIFU LA JUDE NA PETER P-SQUARE LAENDELEA

Inaonekana sasa kuwa ule uadui kati ya Peter, Paul na kaka yao mkubwa Jude Okoye uko wazi hasa baada ya Jude kukacha kuhudhuria harusi ya mdogo wake Peter P-Square. Pamoja na kutotia maguu katika harusi hiyo Jude hajamtumia ujumbe wowote mdogo wake Peter P-Square kama pongezi kwa kumuoa Lola Omotayo.
 
Uadui huu umedhihirika waziwazi pia kwa Jude ambaye ni meneja wa Peter na Paul Okoye kutosafiri na wadogo zake hao mapacha kwa show yao ya juzi Jumamosi nchini Tanzania, Leaders Club, Kinondoni! Hii si kawaida kwa Jude kutosafiri kwa Jude pamoja na akina Peter na Paul hasa kwa shows za nje ya Nigeria

Mpaka sasa hakijajulikana chanzo hasa cha matatizo yao. Inawezekana ikawa Peter kumuoa Lola ndio ishu? #WeAreWatching.

Jude na Peter Okoye



MAJIBU 20 UNAPOAMBIWA "I LOVE YOU"

Watu ama mtu akikwambia "I love You" hasa kwa hiyo lugha ya kigeni, unaweza ukawa na shauku kubwa na kujibu "I love you too". Lakini kama hauko tayari au unahisi kujibu "I love you too" inaboa, hapa kuna majibu takribani 20 unayoweza kutumia pale mtu anapokutamkia 'I love you". 

1. Good!
2. So do I!
3. Most people do.
4. I don’t blame you!
5. Cool story, bro/sis.
6. That makes two of us!
7. I love me, too.
8. That’s nice.
9. HAHAHAHAHAHA. You WERE kidding, right?
10. I figured.
11. Thanks, I wish I could say the same for you.
12. I’d rather you didn’t.
13. Let me know how that works out for you!
14. I wouldn’t think too much of it, I get that all the time.
15. Sounds fun.
16. Oh, great. This is just hunky dory peachy keen.
17. What part of “restraining order” do you not understand?!?
18. Okay, bye.
19. And I love unicorns!
20. Good for you.

Sunday 24 November 2013

MFANYAKAZI WA GIRAFFE OCEAN VIEW HOTEL ASHEREKEA BIRTHDAY NA WASHIRIKI WA TANZANIA TOP MODEL 2013

 Mfanyakazi wa Hotel ya Giraffe Ocean View jioni ya jana alisherekea siku yake ya kuzaliwa akiwa kazini kwake,wafanyakazi wenzake na washiriki wa shindano la Tanzania Top model 2013 walijumuika kuila keki ya Birthday,Glady anasherekea kufikisha miaka 40.
(Rose akimlisha keki Gladys Msia kama picha inavyozungumza).
 Gladys akilishwa keki na Bi. Hellen.
 Gladys akiwa na wafanyakazi wenzake Hellen,Martha Mkololo na Gladys kwenye picha ya pamoja.
Mambo ya ku-pop campaign yaliendelea.Thomas Fusi akifungua campaign kimadaha.
 Hapa wimbo wa Hapy birthay to you ukiimbwa....
 Washiriki wa Tanzania Top Model wakishiriki birthday ya Gladys.

MAZOEZI YA WASHIRIKI TANZANIA TOP MODEL YAZIDI KUNOGA

Thursday 21 November 2013

PETER P-SQUARE AMTETEA MKEWE!

Baada ya kutohudhuria kwa Jude Okoye katika harusi ya mdogo wake Peter P-Square, kumetokea maneno mengi kuwa mke huyo wa Peter hajatulia(kicheche). Lakini baada ya kufunga ndoa hiyo ya kimila siku ya Jumapili tarehe 17, Oktoba, Peter mwenyewe ameibuka na kumtete mkewe, Lola Omotoya!
 
Lola Omotoya


"Nina furaha sana leo kwasababu ninaungana na kuwa mwili mmoja na mwanamke ninayempenda. Ni mwanamke mkakamavu/shupavu na yupo na mimi nyakati zote. Ninaamini ataniletea furaha", Peter P-Square.

Peter, Lola, Genevive Nnaji na mastaa wengine


Wednesday 20 November 2013

WASHIRIKI WA TANZANIA TOP MODEL KUPIGA KAMBI GIRAFFE OCEAN VIEW HOTEL

 Mkurugenzi Tanzania Top model Ysufu George akiongea na wanahabari kuhusu ujio wa kuweka kambi ya siku 17 ya wanamitindo hao katika Hoteli ya Giraffe ocean view iliyomo Frikana jijini Dar.
 Wanamitindo wakiwasili leo mapema Giraffe Ocean View Hotel wakitokea Tamar Hotel walikokuwa wameweka kambi ya siku mbili baada ya kutokea hotel ja Jb Bekmont.
Giraffe ocean View Hotel ,hoteli yenye hadhi ya nyota nne,karibu Giraffe upate huduma zilizo sawa na thamani ya pesa zako,inasifika kwa ukarimu uliopita kiwango.

TANZANIA TOP MODEL WAFUNGUA RASMI ZOEZI LA UPIGAJI KURA KWA WASHIRIKI

  Mkurugenzi wa shindano la Tanzania Top Model 2013 Bw. Jackson Kalikumtima akitangaza rasmi namba ya kupiga kura ili kumchagua mshiriki umpendae kushinda taji la Princess of Tanzania.
  Bwana Kalikumtima aliyasema hayo keo katika mkutano wa waandishi wa habari uliofanika katika hoteli ya Tamar iliyopo mwenge jijini Dar.
Namba iliyotangazwa ni 15564 ikiwa ni namba maalumu unatuma ujumbe mfupi wa maneno Mfano :  TM Nyanjige kwenda 15564 hapo utakuwa umemwezesha mshiriki umpendae kushinda taji. hilo.
 Baadhi ya vionjo vya vipindi vya televisheni vitakavyoruka Clouds Tv kila siku kuanzia leo usiku saa tatu hadi siku ya fainali vilioneshwa kwa waandishi wa habari hii leo
 Huu ndiyo mfumo mpya wa kumchagua mshiriki umpendae.
 Washiriki wa Tanzania Top model wakiwa katika mkutano na waandishi wa Habari hii leo.

MPIGIE KURA MSIRIKI UMPENDAE: TANZANIA TO MODEL 2013


 Mpigie kura mshiriki umpendae kwenda namba 15564.

Sunday 17 November 2013

WASHIRIKI WA TANZANIA TOP MODEL WAANZA KUFUNDISHWA DANSI LEO

 Mwalimu wa dansi 'bad spencer' akitoa mafunzo kwa washiriki wa Tanzania Top Model 2013,mazoezi haya yameanza jioni ya leo na yataendelea kwa wiki tatu zijazo,dansi ya ufunguzi ni kitu muhimu kwa mashindano ya mitindo na urembo.
WAshiriki wakijaribu kumfatilia kwa vitendo mwalimu wao ambapo steps zilikuwa ngumu kidogo ila modoz wanajitaidi kumudu japo ilikuwa ni siku ya kwanza.
Ni step kwa step sambamba na mwalimu haina kupoteza point.
   Mwendo sebene sasa....watu weweeeeee..!!
mmmmh usiniguse mie..!!
 
 Mwalimu Bad spencer akitoa maelezo kwa kina washiriki wa Tanzania Top Model 2013 jinsi ya kutumia viungo vya mwili kutengeneza umbile la kitu kingine.
 
 
 
 
 
 
 
 Matroni'Zakia' akiwa amepozi kwa kiti.