Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 17 May 2013

MNYAMA AMPOTEZEA ANACONDA

TID a.k.a Mnyama amemtema au amemtolea nje Lady Jay Dee a.k.a anaconda kushiriki katika show yake ya kutimiza miaka 13 katika mziki pale Nyumbani Lounge mwishoni mwa mwezi huu. Hii inakuja baada ya Jay Dee kuingia katika mzozo mkubwa na Mkurugenzi utafiti wa redio binafsi, Clouds Fm, Ruge Mutahaba!
 
Katika kuthibitisha kwake kutoshiriki show hiyo, TID aliandika hivi katika ukurasa wake wa facebook:-
“Three reasons why I can’t do Lady Jay Dee Show….. No 1 I have better contract which pays me better than. No 2 I really don’t want to be between anybody’s conflict, ya kwangu yananishinda naona niepushe shari. No3 nataka kuoa muda wangu ndio huu………. Kama nimekukosea captein na madame kazeni but I have been tru the same shit”
 
TID anaungana na wasanii kama Linah, Barnaba na Matonya ambao walishatangaza hapo wali kuwa hawatashiriki kabisa katika show hiyo. Amebaki Professor Jay.
 
 

No comments:

Post a Comment