Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 4 September 2012

NEY AWAVAA KWEUPE WEMA SEPETU NA AUNTY EZEKIEL HUKO MWANZA


Chezea Ney Wa Mitego uone. 
Baada ya kuwachana kina P Funk aka Majani, Zay B, Sister , Dudu Baya na wengine kwenye songi lake la "Itafahamika", now Ney wa Mitego kahamia kwa mademu wa Bongo movie. 
Baada ya wimbo wake wa "Nasema Nao" kuzua utata mwingi kwa kuimba mistari inayowaponda mademu toka kwenye tasnia ya filamu nchini, hivi majuzi  jamaa ameonesha kutomwogopa yeyote baada ya kuwataja live live Wema Sepetu na Aunty Ezekiel kwamba ni makahaba. 
Tukio hilo lilitokea weekend iliyopita kwenye tamasha la Fiesta huko Mwanza ambapo kwenye kipande cha wimbo wake kinachosema makahaba wengi wapo bongo movie, alibadilisha kwa kusema "Makahaba wengi wapo bongo movie kama Wema Sepetu na Aunty Ezekiel", kitendo hicho kilimfanya Wema Sepetu alie sana kiasi cha hata kushindwa kupanda kwenye jukwaa la Fiesta mkoani Mwanza. Kwa upande wa Aunt Ezekiel ilifikia wakati mpaka akataka kumrushia ngumi msanii wa songi hilo. 
Ney alipoulizwa kuhusiana na kitendo hicho cha kutaja majina ya watu kweupe unajua alichojibu, "Sijakosea kusema vile nilimaanisha kabisa kweli hawa watu matendo yao yanaendana na ukahaba". 

Wema (kushoto) akiwa na Aunty Ezekiel (kulia)

HAPPY BORN DAY BEYONCE

Beyoncé Giselle Knowles-Carter alias Beyoncé, is an American singer, songwriter, record producer, dancer and actress.Leo ametimiza miaka 31 tangu kuzaliwa tarehe 4 September,1981 huko Houston.

D'BANJ NDANI YA ALBUM MPYA YA KANYE WEST ITAYOTOKA SIKU ZA HIVI KARIBUNI




Track list ya album ya Kanye West iitwayo "Cruel Summer" ime-leak hivi majuzi ambapo ndani yake msanii toka Nigeria kwa jina la D'banj ameonekana kushirikishwa kwenye album hiyo.

List yenyewe hii hapa;

G.O.O.D. Music - Cruel Summer Tracklist:

1. To The World (Feat. Kanye West & R. Kelly)
2. Clique (Feat. Kanye West, Jay-Z & Big Sean)
3. Mercy (Feat. Kanye West, Big Sean, Pusha T & 2 Chainz)
4. New God Flow (Feat. Kanye West, Pusha T & Ghostface Killah)
5. The Morning (Feat. Raekwon, Pusha T, Common, 2 Chainz, CyHi The Prynce, Kid Cudi & D'Banj)
6. Cold (Feat. Kanye West & DJ Khaled) 7. Higher (Feat. The-Dream, Pusha T & Ma$e)
8. Sin City (Feat. John Legend, Travi$ Scott, Teyana Taylor, CyHi The Prynce & Malik Yusef)
9. The One (Feat. Kanye West, Big Sean, 2 Chainz & Marsha Ambrosius)
10. Creepers (Feat. Kid Cudi)
11. Bliss (Feat. John Legend & Teyana Taylor)
12. I Don't Like (Feat. Kanye West, Chief Keef, Pusha T, Big Sean & Jadakiss)

DIRTY GAME YA MR CHUZI NDIO GHALI ZAIDI

F
Dirty Game filamu mpya iliyoandaliwa na kampuni ya Tuesday Entertainment Ltd ya jijini Dar es salaam inaweza ikawa ndiyo filamu ambayo imeaandaliwa kwa gharama zaidi kulinganisha na filamu zinazoendelea kutengenezwa na watayarishaji wa filamu hapa nchini.
 "Unajua gharama zilikuwa kubwa kutokana na location tulizotumia mwanzo wa filamu hadi mwisho, filamu ya Dirty Game imerekodiwa katika Boti na ndege kwa hiyo katika ndege tulitumia camera zaidi 10 kwa ajili ya kunasa kila tukio ili kila kitu kionekane bila kurudia tukio hilo kwani kuwa hewani ni gharama,” Mr. Chuzi.
 ya Dirty Game imerekodiwa katika bahari na angani kutoka Dar es salaam kuelekea Zanzibar. Filamu hiyo imeshirikisha wasanii wengine kama Tuesday Kihangala ‘Mr. chuzi’, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, Michael Philipo ‘Kojack’, Bad boy, Mzee Bomba na wasanii kutoka kampuni ya Tuesday...

HII SASA ISHAKUWA MTUMBA! - WIMBO WA MWANZA ALL STARS WAIMBWA NA UNDERGROUNDS



Kwa hali ya kushangaza jana wimbo wa Mwanza All Stars uitwao "Mwanza" uliotoka jana, tofauti na ilivyotegemewa wimbo huu umeimbwa na chipikizi tofauti na ilivyotegemewa labda ungekusanya vichwa kama Fid Q, PNC, Dudu Baya, Kabago,H baba na wengine wengi ambao ni maarufu kama ilivyokuwa kwa wenzao wa Kigoma Allstars walioimba "Leka Dutigike".

Wimbo huu umeimbwa na wasanii kutoka  wachanga kwenye game toka Mwanza ambao ni Sagna,Baraka,G,riko,Athuman,Saxena,Kijo na Seco Bwai.
Track imetengenezwa studio za Mbunda Records zilizopo jijini mwanza .
 
Track yenyewe hii hapa...
 

New Video:Johnson feat Jackson and Ally Kiba-Yale Yale

MOVIE YA IN BETWEEN YA MONALISA NA MAMA YAKE SOKONI SOON

Natasha, Mboto, Alloy Sazia na Natasha wakiwa location waki-shoot muvi yao ya "In Between"
Movie hii inatarajiwa kutoka wiki ijayo ....

VIDEO MPYA SUMA LEE - APATE RAHA