Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 18 January 2013

EXCLUSIVE: BILIONEA NO.1 AFRICA ANUNUA BOTI YA KIFAHARI!

Aliko Dangote, bilionea namba moja Africa kutokana na takwimu za Forbes Magazine akikadiriwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 12, juzi tarehe 17 alifanya kufuru ya kununua boti ya kifahari na kuipa jina la "Mariya"

Chairman huyo wa Dangote Group of companies amefanya kununua just the same yatch na ile ya mpinzani wake Femi Otedola kukiwa na utofauti mdogo sana.

    Tabasamu la fwedha, Mzee Dangote.

    Boti la Aliko Dangote.

No comments:

Post a Comment