Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 5 January 2013

MARIO BALOTELLI AMWAGWA

Mshambuliaji wa timu ya Manchester City Mario Balotelli aachwa na Mpenzi 
wake Tabby Brown ambao wamedumu kwa muda wa miezi saba tu na kuingia mikononi mwa Msanii wa R&B Trey Songz. Mwanadada huyo alidai kuwa amechoshwa na kutoeleweka kwa mpenzi wake huyo Mario Balotelli na kuamua kuondokana na adha hiyo kwa kumtema.



                                         MARIO BALOTELLI                TABBY BROWN

TREY SONGZ

No comments:

Post a Comment