Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 18 March 2013

JUMBA BEI GHALI ZAIDI NCHINI UINGEREZA!

Hii ndio nyumba ghali nchini Uingereza. Kutokana na bei yake kuwa juu sana ilibidi ipunguzwe kwa takribani pauni milioni 35. Na hii imechukua miaka miwili bila mnunuzi kupatikana.  Na sasa bei yake ni pauni milioni 65 tu!


Bangaloo hili lina vyumba 14 vya kulala na linapatikana katika mtaa wa Hampstead, mtaa huu unajulikana kama 'Billionaires' row' kwa sababu wakazi wa eneo hilo ni wanauwezo kiuchumi!



 Jumba hili la kifahari lilijengwa mwaka 1910 liliwekwa sokoni toka mwaka 2011 na bei yake ilikuwa ni pauni za Uingereza, milioni 100.






















No comments:

Post a Comment